Nyumba inauzwa Mwandege Mbagala

Nyumba inauzwa Mwandege Mbagala

segela

Member
Joined
Jun 28, 2013
Posts
78
Reaction score
69
Nyumba inauzwa ipo MWANDEGE km 5 kutokea mbagala rangi 3, maeneo ya shule ya msingi mita 250 kutoka Barabara ya kilwa ina vyumba 3 ikiwemo master 1 na sting room, dining jiko na vyoo vote viko ndani imepigwa rangi nzuri ndani na nje ndani ina gypsum, ina umeme na maji yapo ina fensi inauzwa 55m Dalali haihitajiki maongezi yapo
 
Futa neno Dalali Hatakiwi.
Huu msemo unaboa sana,wapo kibao wanaandika kama wewe kumbe wao ndio madalali.
We unafikiria kuuza nyumba bila dalali ni rahisi kihivyo.Na ndio maana umeona uvae viatu ili kuzuia madalali wengine.

Madalali hembu pendaneni acha roho mbaya kula na wenzio.

Hao madalali Ulaya ndio wanaotafutia Kina 50 Cents mijengo
 
Ninauza nyumba ni ya kwangu Mimi sio dalali we kama unahitaji Selma
 

Attachments

  • IMG_20141205_065523.jpg
    IMG_20141205_065523.jpg
    170.3 KB · Views: 151

Similar Discussions

Back
Top Bottom