Nina kiasi hiko cha pesa, natafuta simu bomba kwa matumizi ya kisomi. Mwenye nayo aina yoyote touch with good memory capacity, Good CPU, tuwasiliane fasta.
kiwanja kinauzwa... kipo eneo la nkuhungu , nkuhungu west block q... kipo eneo zuri , maji na umeme jirani... kipo karibu na lami iendayo singida.. kimepimwa na CDA... bei mil 7... maelewano...
Habari za leo wana Jamii,
Nimepunguza bei ya kuuza, naona hali ni ngumu kwetu wetu watanzania.
Iko tayari kufanyia biashara au matumizi ya kawaida. kwa yule aliyekuwa tayari.
Bei mpya mil 1.1...
Website inauzwa tembelea www.kinukazi.com
Inahusika na
Uuzaji na ununuzi wa bidhaa
Utangazaji wa kazi na mtu kuweza kuapply kazi online
Ni kama directory ya makampuni mbalimbali
Afu...
Natafuta seat cover za gari ndogo kwa bei nafuu zaidi
atakayenithibitishia kuwa ana seat cover za bei nafuu zaidi ya wengine wote NITAMNGURUMISHIA/NITAMPIGIA SIMU..
Toyota PASSO MPYA - 7.3Mil used overseas only. Imported from JAPAN
CONTACT: 0765072175 / 0786987248 (Whatsapp zipo on)
NOTE: Zipo kila rangi
Specs range:
YOM - 2002 -2005
Mileage - 60000km -...
Wanachuo wa Kampala University wanaotaka kupanga nyumba ninayo. Ni self, full furnished, maji umeme ni 1.5 KM kutoka chuo. Bei Kitanda ni 25,000 tu.
Ni PM endapo unahitaji
Ipo Kinondoni 2 master bedrooms, sitting room, corridor, kitchen, parking, kibaraza kwa nje na ua ina nafasi for those side, pia kuna choo nje. piga 0718488595.. ur welcome:welcome:
Habari zenu wakuu. Kama uzi unavyojieleza, nauza gari yangu aina ya toyota passo used in few month with a good condition. Haina tatizo lolote wala mkwaruzo wowote.
Bei ni 8ml.
Nipo Arusha...
Wadau nimegundua hapa kwetu Bongo kuna tatizo la kuandika Kiingereza na Kiswahili pia. Hivyo nikishirikiana na wataalamu wenzangu tumeamua kufungua ofisi ya kufanya kazi za kuhariri (Editing)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.