rilprogrammer
Member
- Jun 5, 2011
- 94
- 19
laki sita siyo kwa mkangafu huo
Jokofu bado lipo katika hali nzuri sana,limetumika kwa miezi 8 kwa matumizi ya nyumbani.
Bei laki sita.
Lipo Magomeni Dar es salaam
pili jaribu kutoa maelezo yalioshiba je pamoja na kutumika miezi hiyo 8 je ulishawahi kujenga urafiki na mafundi friji na hilo friji lako ili ss wanunuzi tujue tunanunua friji la aina gani