Nauza simu samsung galaxy S3 black used with fully accesories.
Price 330,000/=
Nipo dsm,pm for business
BASIC SPECIFICATION
OS- Android 4.3 jelly bean
Display-4.8" super Amoled
CPU-Quad-core 1.4...
Tumeingiza mzigo mpya wa matrailer, matrailer mapya kabisa aina ya Nursan na Serin. Ubora wa matrailer haya unaweza kupakia container za futi 20 mbili kwa pamoja na futi 40 moja.
Breki zake...
Mambo vipi wadau.
Nnatafuta laptop, Iwe:
-na uwezo wa touch
-4gb ram au zaidi.
-500gb hdd iwe core i5 au zaid
-nyembamba
-na uwezo wa kukaa na chaji masaa 2 au zaidi.
Kama unayo nicheki pm...
Wale wanaomiliki hotel sasa nawasogezea huduma nzuri ya kupata nyanya, vitunguu, carrot na hoho vikiwa ni fresh kutoka shamba. Nakuletea mpaka eneo ulipo bila kucharge gharama ya usafiri.
Nyanya...
Wadau kuna mti mkubwa sana aina ya keleptas unauzwa maeneo ya sanawari bei utaongea na mzee ukifika. Ni mti unaoweza kutoa mbao nyingi sana za milango na furniture zingine za ndani. Kwa maelezo...
Hello Bandugu,
Week moja iliyopita nilitoa tangazo la kutafuta MacBook Pro, lakini ni mtu mmoja tu alienitafuta na bei yake ilionekana kuwa kubwa sana. Hivyo nimebadili sasa nataka Acer Aspire...
Habari!
Natafuta gari ya kununua ya aina tajwa hapo juu bei tutazungumza.
Niko Mwanza hivyo Walioko Mwanza na maeneo jirani watapewa kipaumbele.
Angalizo; Gari iwe katika ubora na uzima wa...
Wana JF wenzangu, Natafuta engine iliyo katika ubora ya gari Toyota Starlet - Half Engine Corolla E5 kwa hapa Dar es Salaam. Mwenye nayo tafadhali ani pm au anijuze kupitia 0689 101177 au 0757...
Tunatoa huduma ya kuandika Business Plan, Project Proposal, Katiba za NGOs na Makampuni.
Pia tunatoa ushauri jinsi ya kuanzisha Biashara, Kuanzisha Kampuni, Kuanzisha NGOs na mengine mengi.
Kwa...
Salaam wana jf
Kwa anayehitaji TV bora za kisasa aina mbali mbali zinapatikana kwa bei poa Kigamboni ilipo stand ya daladala ziendazo Kibada, Kongowe karibu sana na stand ya pikipiki kwenye frem...
Habari,
Ninaitaji chumba kimoja cha kupanga,napendelea maeneo yafuatayo tabata kimanga,bima,aroma,ubungo,mbezi beach,salasala,tegeta.NIPO TAYARI KULIPA KWA MIEZI MITATU KWA KUANZIA.BUDGET YANGU...
Wakuu Nina peving blocks za kijanja na bei nafuu pia cement blocks size zote
Kwa anayehitaji awasiliane nami kwa
0786582077
hmushi06@gmail.com
Niko Kaliua mkoani Tabora.........
Tunauza nguo za mitumba kwa bei ya jumla na rejareja, Nguo tunazouza ni Magauni ya wadada, wamama, top, blauz n.k
Magauni marefu kwa bei ya jumla ni 10,000/=, magauni mafupi 5000/=, top 4000/=...
Bought in the US, never used only tested once.
Compatible with rechargeable AA and AA NiMH batteries
Up to 8 hours charge time
Automatic shut off when charge is complete
LED charge status...
Nyumba inauzwa Nyakato National.
ina vyumba 4 vya ndan master 1 na vya kawaida
v3.dinning room na sitting room.
ina vyumba vi3 vya nje na bafu na choo cha nje.
iko karibu na s/m gedeli pia...