Frame inakodishwa Msasani

Frame inakodishwa Msasani

mrangi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
95,728
Reaction score
136,383
Kuna frame tunaiachia iko opposite na NMB Bank Branch ya Msasani.
Kodi tulikuwa tunalipa 300,000/ kwa mwezi,

Kwa anaye hitaji tuwasiliane
0715591141
 
Mlikuwa mnafanya biashara gani reason ya kuachia, biashara ipoje hapo kuna watu namaanisha ni eneo lililochangamka kibiashara?!
 
Nipe location exactly am interested kufanya business msasani
 
Mlikuwa mnafanya biashara gani reason ya kuachia, biashara ipoje hapo kuna watu namaanisha ni eneo lililochangamka kibiashara?!

Sisi tulikuwa tunaweka bidhaa(households)
Mafriji, microwave,etc.reason ya kupaachia biashara yetu sahv ya bidhaa hyo haiko vizuri, tumepata frame ingine magomeni tumebanana na wenzetu wanaouza bidhaa hyo na parts zake, wapo wengine wana madura ya boutique na ma duka ya vifaa vya ujenzi.
 
Hueleweki mkubwa.Kama unaachia frem kwani nini uifanyie marketing.
Acha mwenye nayo ahangaike.Unanitia wasi wasi.

Ila nahitaji
 
Hueleweki mkubwa.Kama unaachia frem kwani nini uifanyie marketing.
Acha mwenye nayo ahangaike.Unanitia wasi wasi.

Ila nahitaji

Mkuu sorry!kwanza naona nimetumia lugha syo kwako,lakini frame hyo tushatoa vitu vyetu na bado tumebakiza kama wiki hivi mkataba uishe kabisa, huoni kama nmekurahisishia kukutangazia
 
Ni bahati mbaya naishi mbali sana lakini lile eneo ukiweza kulenga ni zuri sana. Hata hivyo ingekuwa bora kama ungetoa specification za frame yenyewe in terms of size.

c.c mrangi
 
Last edited by a moderator:
Ni bahati mbaya naishi mbali sana lakini lile eneo ukiweza kulenga ni zuri sana. Hata hivyo ingekuwa bora kama ungetoa specification za frame yenyewe in terms of size.

c.c mrangi

Ni kweli sisi tumekuwa pale kwa miaka 7, biashara yetu pale ime drop sana ya kuuza vitu used.ila it's good location kwa biashara ,ila biashara yetu imedunda
 
Last edited by a moderator:
Ni bahati mbaya naishi mbali sana lakini lile eneo ukiweza kulenga ni zuri sana. Hata hivyo ingekuwa bora kama ungetoa specification za frame yenyewe in terms of size.

c.c mrangi

Kwa ukubwa wa size ya frame sijajua..Ila frame hiyo tulikuwa tu napanga ndani fridge zaidi ya 25, yaani medium na large fridges na vitu vingine kama majiko etc
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli sisi tumekuwa pale kwa miaka 7, biashara yetu pale ime drop sana ya kuuza vitu used.ila it's good location kwa biashara ,ila biashara yetu imedunda

Kwa ukubwa wa size ya frame sijajua..Ila frame hiyo tulikuwa tu napanga ndani fridge zaidi ya 25, yaani medium na large fridges na vitu vingine kama majiko etc
Kwa frame inayoweza kuweka mafriji 25+ basi ni frame ya uhakika. Lakini kama ulivyosema, lile eneo jinsi lilivyokaa halishawishi kwa biashara kama hiyo ingawaje bado nakiri kwamba ni bonge la eneo. Yaani ningekuwa naishi angalau pande za Morocco, lile eneo mtu unaweza hata kulipia ukapiga kufuri frame kuangalia nini hasa uweke.
 
Back
Top Bottom