mwajei
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 129
- 38
Naitwa Neema Bundala(Shilo) nipo arusha namtafuta baba yangu anaitwa AGUSTINO MASOKOLA BUNDALA. Alikuwa anaishi tengeru Arusha miaka hiyo 1995.Aliniacha nikiwa mdogo sina hata picha yakujua yukoje .Please kwa yeyote anaemfahau asiache kunijulisha. Tangu mwaka 1995 mpaka sina mawasiliano nae. Hata ndugu yake nikipata mawasiliano nijue yko hai au amekufa. walau nione hata kaburi lake. mawasiliano PM
Huyu ni mdogo wangu mtoto wa mama mkubwa kaniomba nimwekee tangazo lake.
Huyu ni mdogo wangu mtoto wa mama mkubwa kaniomba nimwekee tangazo lake.