power bank
Senior Member
- Aug 18, 2014
- 101
- 17
Mada tajwa hapo juu inahusika. Naomba kufahamu kama naweza pata laptop (hasa Kariakoo) kwa bei tajwa hapo juu. Ni kwa ajili ya kujisomea na kuangalia movie tu.
Natanguliza shukrani
Natanguliza shukrani