Shamba linauzwa kigamboni kimbiji.

Shamba linauzwa kigamboni kimbiji.

samlai

Senior Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
149
Reaction score
98
Wasalam. Wanandungu.shamba linauzwa linaukubwa wa eka kumi kila eka shil milion mmbili na laki nane.bei hiyo kwa atakae chukuwa kuazia tano kwenda juu.moja moja mil3.0752961814
 
Wasalam. Wanandungu.shamba linauzwa linaukubwa wa eka kumi kila eka shil milion mmbili na laki nane.bei hiyo kwa atakae chukuwa kuazia tano kwenda juu.moja moja mil3.0752961814

vipi umbali toka daraja la kigamboni ni kilometa ngapi
 
vipi umbali toka daraja la kigamboni ni kilometa ngapi

Mkuu hili swali lako hata ingekuwa mimi ningeshindwa kulijibu.mimi nina maeneo yangu mengi huko ila hili swali lako gumu hilo daraja jipya wengi hawalijui maana kwanza halijaanza kutumika na kwa wanaolijua ni lazima wawe ni watumiaji au walishawahi kuvuka na vivuko vidogo vya vijibweni.ilitakiwa umuulize kwa kupitia kibada njia ya Dar zoo ni km ngapi au kutokea mji mwema au Gezaulole ni umbali gani.au kutokea mwisho wa lami pale Mwembe mdogo ni maeneo gani au la mwisho kutoka kiwanda kipya cha Cement ni maeneo gani mkuu tusaidie maana naona bei yako sio mbaya Mkuu
 
Back
Top Bottom