Nahitaji vitanda imara kwa bei nafuu

Nahitaji vitanda imara kwa bei nafuu

ooki

Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
68
Reaction score
8
Wanajukwaa ndio naanza maisha naomba msaada wapi hapa dar naweza pata kitanda cha kueleweka cha mbao ngumu za kudumu lakini kwa bei affordable??! Nimepita manzese na magomeni bei affordable lakini mbao zao sio imara... Msaada tafadhali nimechoka kulala sakafuni😥😥
 
Nenda Ikwiriri wilayani Rufiji, kule mpaka laki na ishirini unapata kitanda imara sana. Hapo jumlisha nauli pamoja na usafirishaji kama Tsh. 20,000
 
Naomba kujua ni wapi wanauza vitanda vizuri vilivyo imara kwa bei nafuu, nisaidieni kijana mwenzenu nimeichoka sakafu
 
Nauza mm , uko wapi? kitanda size gan unataka?
 
Ucjidanganye na kufata kitanda ikwiriri watu wa misitu wamejitengenezea njia yao ya kudhibiti mali asili hivyo kweli utanunua kwa 120,000/= na usafiri 120,000/= utakuta umelipa 240,000/=
 
Ucjidanganye na kufata kitanda ikwiriri watu wa misitu wamejitengenezea njia yao ya kudhibiti mali asili hivyo kweli utanunua kwa 120,000/= na usafiri 120,000/= utakuta umelipa 240,000/=

Tena ni kweli asithubutu, unajua kuna watu wanapenda kukurupuka mambo ya miaka ya 2008 anayaleta leo
 
Back
Top Bottom