Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wana J F , Nauza body ya truck niliagiza from Japan ilikuja na small canter truck ,inafaa kama vile storege unit Au unaweza kufanya kama movable business Au hata kibanda cha watch man ,Au unaweza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
9 mil sh
0 Reactions
0 Replies
822 Views
Husika na kichwa hapo juu... Natafuta dalali wa kuniuzia machungwa yangu nakuja nayo dar yapo kama 40000 hiv.. Kwa mzoefu wa hiz anijuze kwa pm.. Faida itayotoka atakula 25 percent Chungwa ni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
NEVICA Air Conditioner mpya ndani ya boksi.. BTU 12000.. PIGA SIMU 0752039770
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama unahitaji nyumba au chumba cha kupanga mwenge karibu, bei zinatofautiana kulingana na ubora, na mmiliki, Pia hapa kuna nyumba ipo full vyumba vitatu kimoja self jiko pia maji yapo na uzio...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Kuna mzigo mzuri wa Choroko na Kunde (zimelimwa Mkoa wa Pwani) zinauzwa (kuanzia Kg 100) hapa Dar es Salaam. Anayehitaji tafadhali ni PM.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza simu yangu HTC one M7 unlocked, imetumika kama miezi 4 iko katika hali nzuri sana screen protector, haina mchubuko. Ipo kwenye cover ya aina ya otter. Bei laki tatu na nusu. Niko Dar...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina mil 6.5 naweza kupata noah?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
a brand new smartphone for sell ina accessories zake zote na warranty 2 yrs only 123,000 tuuuuu nicheki 0752874923
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama kuna mtu anayo display nzima used au mpya ya simu tajwa hapo juu naomba tuwasiliane kwa 0714-408238. Nakihitaji sana wakuu.
0 Reactions
0 Replies
589 Views
Mko powa wadau? Natafuta mashine hizo kati ya ps3 au ps2 iwe katika hali nzuri na iwe inacheza game za kwenye flash/memory.. Nakaribisha mwenye nazo.
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Mpya nakila kitu chake nipo dar bei 250,000 kwa mawasiliano 0712690760
0 Reactions
2 Replies
865 Views
Utanipa sim gan Note: ram sio chini ya 1gb Pia display sio chini ya 4.3 and above Ahsanteni
0 Reactions
2 Replies
994 Views
Jiko dogo zuri bado jipya linauzwa liko full na vifaa vyake bei maelewano njoo PM
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanatakiwa vijana wachapakazi umri kuanzia 20-. Sifa; Mwenye kujituma. Mbunifu. Aweze kuongea kwa ufasaha kiingereza na kiswahili. Jasiri. Contact ;0716548250./0753548250
0 Reactions
5 Replies
1K Views
TANGAZO TANGAZO BIASHARA BIASHARA Shamba zuri lenye ukubwa wa ekari 20 linauzwa!! Bei ni powa kabisa!! Ukichukua ekari 5 au zaidi kila ekari 1 utapata kwa 1.15 M na kama ukichukua chini ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ninauza simu tajwa ikiwa kwenye hali nzuri na haina tatizo lolote. bei ni 250,000 ona picha ukipenda nitafute tuongee 0656497469
0 Reactions
6 Replies
871 Views
wakuu nauza washing machine ni mpya kabisa inakama mwezi tu nmeimport ya 10kg nzuri kwa biashara ya dry cleaners kwaiyo aliye tayari anipm hapo tufanye biashara
0 Reactions
13 Replies
2K Views
nauza gari tajwa ikiwa katika hali nzur kabisa gari ni manual gear ina cc 4200 ni model ya 1990 4wd bei ni mil 10 maelewano yapo nitafute kwa 0656497469 tufanye biashara
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Nahitaji karatasi za kuprintia A3+ na A4 Mwenye nazo kwa wingi ani Pm ili tuongee biashara
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom