Nauza washing machine mpya

Nauza washing machine mpya

mjasiliamali14

Senior Member
Joined
Jan 5, 2014
Posts
147
Reaction score
21
wakuu nauza washing machine ni mpya kabisa inakama mwezi tu nmeimport ya 10kg nzuri kwa biashara ya dry cleaners kwaiyo aliye tayari anipm hapo tufanye biashara
 
Hizi biashara kichaa hizi, sasa unaleta biashara bei hutaj, tusio na wazo tunaweza kufkri kununua, ongezea na picha mambo yawe bam bam.. usifanye matangazo ya gongo hapa
 
xory mkuu bei no laki nane mpya kwenye box najaribu kuupload naona inagoma mwenyewe watsap aniinbox number yake nimtumie
 
hyo mkuu IPO chini sana ata ya kilo 5 huwezi pata kwa bei iyo na ingekuwa bei hyo kila MTU angekuwa na yake nyumbani
 
washing machine ni Biashara nxur sana mjini na inalipa sana vijana changamkieni fulsa mnalalama hakuna ajira aya ujasiliamali ndio uhuuu sasa
 
Teh teh mkuu niko na waZo la biashara hiyo lakini sijapata mtaaramu wa hiyo biashara Ili anijuze Kama inalipa au ndio famba
 
Specifications na aina yake. . . .Top au front loader??!!
 
Back
Top Bottom