Nauza mashine ya kuangua vifaranga vya kuku, bata, bata mzinga, kwale, kanga na wengineo wengi. Hii ni original mashine kutoka UK na ina ubora wa hali ya juu. Hii ni automatic mashine ambayo mayai...
Mwenye hyo mashine ya kuangushia magogo na kuchana mbao porini nahitaji bei ipo laki 9, awe yuko tayari kunipa mafunzo ya namna ya kuitumia yaani kukata magogo na mbao. Nawasilisha wa jf
Ni mpyaaaaa
Inafanya kazi--yaani ina operate mpaka sasa inaingiza fedha.
Hotel ya kisasa, kilometa 43 kutoka dar.ukubwa heka 3.vyumba 21,bar na majiko 2.conference watu 50.ukumbi watu 300 na...
Natafuta mdada wa kazi mwenye umri wa above 30 ambae atakua na kazi ya kumtunza Mzee. Nitashukuru kama nitapata mtu ambae amewahi kutunza wazee hapo mwanzo.
Utapata eneo la kulala na chakula na...
Habari zenu?
Natafuta msichana mwaminifu wa kuuza duka la mahitaji ya nyumbani hapa mtaani Morovian,jirani na Mianzini,Arusha.
Sifa:
Ajue kusoma na kuandika
Awe na wadhamini
Awe na bidii ya kazi...
wadau naweza pata smartphone yenye buttons ambayo ni android operating system..naomba na gharama yake tafadhali..ikipatikana ya laini mbili ntashukuru zaidi
Habari zenu watanzania wenzangu. Kwa wale wanaopenda kupunguza ama kuongeza uzito. Ili kuwa na muonekano unao vutia na kuwa na afya njema. Nina habari njema sana, nipigie 0716548250.
Wapendwa jana niliona tangazo la tv, TBC kuwa kuna sehemu viwanja vinauzwa kwa bei rahisi kama elfu 20000 wakati naanza kulisoma lile tangazo likayeyuka.
Je, kuna mtu mwenye taarifa zozote anisaidie.
ADVANCED MICROSOFT EXCEL TRAINING IN DSM :- June 27&28
Do you aspire to become more Competitive in your work? The Global Business Consulting (GBC) is a solution to your career aspiration in terms...