Punguza au ongeza uzito

Punguza au ongeza uzito

tejateja

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2015
Posts
1,626
Reaction score
979
Habari zenu watanzania wenzangu. Kwa wale wanaopenda kupunguza ama kuongeza uzito. Ili kuwa na muonekano unao vutia na kuwa na afya njema. Nina habari njema sana, nipigie 0716548250.
 
Ni bora kwanza ukaandika hapa tiba yako ilivyo japo kwa kifupi.
 
Mbona chumbani tena, weka mambo sebulen,watu wajichagulie ubonge au kimbaumbau
 
Kupunguza uzito ni sawa,waweza kuwa na formula nzuri tu ya chakula na mazoezi

Hapo kwenye kuongeza sasa sijui utakuwa na altenative gani...Naomba kabla sijakufuata chemba uweke hapa kwa muhtasari naweza kuwa mteja wako
 
Back
Top Bottom