Hukusikia vizuri, 20,000/- ni bei ya form kwa muhitaji wa kiwanja ..
Wapendwa jana niliona tangazo la tv, TBC kuwa kuna sehemu viwanja vinauzwa kwa bei rahisi kama elfu 20000 wakati naanza kulisoma lile tangazo likayeyuka.
Je kuna mtu mwenye taarifa zozote anisaidie.
Njoo nikuuzie changu kiko Kivule njiapanda ya shule ,ukubwa hatua 50 urefu.kwa 25 upana million 6 maongezi yapo
Naomba mawasiliano yako ya simu boss!
Nakusikia sana huko kivule mwenye kupafam vizuri atujuze, panafaa kwa makazi ya cc vijana? Miundombinu je?