Canter tani 2 inahitajika

Canter tani 2 inahitajika

tuwe wakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
223
Reaction score
59
Nahitaji gari hilo jamani kwa bajeti ya 4.5M.Kama unayo ni PM namba yako ya simu.
 
Nipe 10m.
 

Attachments

  • 1434892219904.jpg
    1434892219904.jpg
    83 KB · Views: 177
labda kama ununua canter ya kukata uuze spare parts, but kwa 4.5mln hata kirikuu utaipata inayochechemea.
 
Nicheki kwenye 0657145555 nikutumie picha ya gari lakini siyo kwa bei hizo
 
Yaani kuna watu hawako seroius canter ya 4.5mil? dah ebu acheni masihara bhana, ushuru wenyewe wa canter ni kama 15mil hapo hujainunua na kuileta bongo, then jitu linataka 4.5mil, hiyo ni kodi ya suzuki carry....ndorobo weee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom