Natafuta mdada wa kazi

Natafuta mdada wa kazi

Joined
Oct 12, 2014
Posts
78
Reaction score
48
Natafuta mdada wa kazi mwenye umri wa above 30 ambae atakua na kazi ya kumtunza Mzee. Nitashukuru kama nitapata mtu ambae amewahi kutunza wazee hapo mwanzo.

Utapata eneo la kulala na chakula na mshahara.

Plz nipm kama uko interested ili tuongee zaidi.

Collins
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom