kama Uzi unavyojieleza nimeamua kuuza mashine yangu coz nimepata kazi ya campsite hivyo sina muda wa kuitumia.
dell latitude e4300 haina tatizo lolote, charge more than 2hrs,..
nipo arusha,
bei ni...
Gari tajwa hapo juu inauzwa inatembea vizuri tu inafanya kazi zake kati ya mabibo na makumbusho na vibali vyake vyote viko valid kuanzia TLB, Insurance na Road license, bei ni milion kumi na tano...
Wakuu nauza tv yangu aina ya samsung plasma inch 42 in a good condition ndiyo nnayoitumia kwangu.. bei ni shilingi laki 680 alfu..kama ukiihitaji nichek 0713 799 522 sababu ya kuuza nmepata...
Wakuu nipo Nairobi hapa kuna simu nimeziona zinauzwa bei rahisi sana. Nataka ninunue kama za TZS 4,000,000 hivi ili nikongeze kwenye duka langu la simu. Woga wangu ni kuhusu TRA pale airport...
RIWAYA: KOSA
MTUNZI: HASSAN O MAMBOSASA
SIMU:+255713776843
+255762219759
WHATSAPP:+255713776843
SHUKRANI ZOTE ANASTAHIKI MWENYEZIMUNGU
MUUMBA WA DUNIA NA VILIVYOMO KWA KUNIPATIA...
Mark X ya 2006 inauzwa bei 16.5m gari ilisajiliwa bongo mwaka jana mwezi wa 7.Ni gari ya mhindi ipo posta, jamaa anataka 16.5m.Kama upo interested check na mimi nikupeleke ukaikague.Gari ni almost...
Nauza CCtv camera aina ya Swan Original kutoka UK iko complete Camera 4, dvr recorder yenye 1GB, Dell screen na waya zake tayari kwa kufungwa, camera hii ni nzuri kwa usalama wa majumbani...
2003 TOYOTA IST FOR SALE
Pata hii 2003 TOYOTA IST ikiwa kwenye hali nzuri bila kutumia nguvu ya Dalali.
Ina Vibali vipya hadi June 2016,
Alarm/New Battery/New tyres/Under 97,000Kms. No...
Wakuu natafuta nyumba ya kupangwa hizi za National housing c.nifanyaje ili niweze kuzipata? Naona zipo Ubungo Shekilango, urafiki, llala pale hata Temeke naombeni mawazo yenu mbinu ya kutumia ili...
Shamba linauzwa chanika mwanzo mgumu dsm lina ukubwa wa ekari nne linafaa hata kwa makazi pia bei ya kila ekari ni tsh 1,300,000 na maelewano pia yapo. 0714 621548 au 0713 656557
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.