Natafuta nyumba ya kupanga NHC

Natafuta nyumba ya kupanga NHC

TIQO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
13,786
Reaction score
2,104
Wakuu natafuta nyumba ya kupangwa hizi za National housing c.nifanyaje ili niweze kuzipata? Naona zipo Ubungo Shekilango, urafiki, llala pale hata Temeke naombeni mawazo yenu mbinu ya kutumia ili nipate kupanga nyumba za Taifa letu
 
Du hizi nyumba ni za wazeee tena uende taratibu utapigwa kipapai.Yaani kuna watu walipanga nyumba hizi tokea enzi za mwalimu sasa wanazifanya kama za kwao na ukitaka kupanga lazima wao ndo wakupangishe tena kwa bei wanaoitaka wao
 
Vipi Upanga hutaki na kuna NHC
 
Du hizi nyumba ni za wazeee tena uende taratibu utapigwa kipapai.Yaani kuna watu walipanga nyumba hizi tokea enzi za mwalimu sasa wanazifanya kama za kwao na ukitaka kupanga lazima wao ndo wakupangishe tena kwa bei wanaoitaka wao

Kuna mzee mmoja ameishi Ilala pale anasema huu mwaka wa 28 yupo pale pale eti kodi analipa elfu 40 tu
 
Unatafuta kienyeji au kwa kidhungu? Tafuta 30M ukishaipata nitafute.
 
Back
Top Bottom