CCtV CAMERA FOR SALE (Security Camera)

CCtV CAMERA FOR SALE (Security Camera)

mamakibunju

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2013
Posts
1,009
Reaction score
223
Nauza CCtv camera aina ya Swan Original kutoka UK iko complete Camera 4, dvr recorder yenye 1GB, Dell screen na waya zake tayari kwa kufungwa, camera hii ni nzuri kwa usalama wa majumbani, maofisini n.k ukiifunga kwa kuingunisha kwenye internet unauwezo wa kuona matukio yote yanayoendelea sehemu ulipoifunga ukiwa nje ya tanzania, mikoani n.k kwa kutumia cm yako ya mkononi, laptop au desktop na pia inauwezo wa ku record na ku rewind, kwa mtu yoyote anayeitaji ani PM
 
  • Thanks
Reactions: MC7
PM za kazi gani wakati biashara umetangazia hapa,weka bei,picha na maelezo mengine ili umshawishi mtu vizuri. Au wewe dalali.?


Nauza CCtv camera aina ya Swan Original kutoka UK iko complete Camera 4, dvr recorder yenye 1GB, Dell screen na waya zake tayari kwa kufungwa, camera hii ni nzuri kwa usalama wa majumbani, maofisini n.k ukiifunga kwa kuingunisha kwenye internet unauwezo wa kuona matukio yote yanayoendelea sehemu ulipoifunga ukiwa nje ya tanzania, mikoani n.k kwa kutumia cm yako ya mkononi, laptop au desktop na pia inauwezo wa ku record na ku rewind, kwa mtu yoyote anayeitaji ani PM
 
Mimi ni mmiliki halali kama unaitaji fanya uje kuiona nina uhakika utaipenda na utanunua, kama kwa picha tu nitakupa link ya duka nililonunua uangalie vizuri zaidi.....
 
Nauza CCtv camera aina ya Swan Original kutoka UK iko complete Camera 4, dvr recorder yenye 1GB, Dell screen na waya zake tayari kwa kufungwa, camera hii ni nzuri kwa usalama wa majumbani, maofisini n.k ukiifunga kwa kuingunisha kwenye internet unauwezo wa kuona matukio yote yanayoendelea sehemu ulipoifunga ukiwa nje ya tanzania, mikoani n.k kwa kutumia cm yako ya mkononi, laptop au desktop na pia inauwezo wa ku record na ku rewind, kwa mtu yoyote anayeitaji ani PM

Mm naihitaji kwaajili ya video production za kama vile kipaimara, send off, misiba, nk.
 
Mm naihitaji kwaajili ya video production za kama vile kipaimara, send off, misiba, nk.

Aifai kwa mambo ya video productin yenyewe ni camera ya ulinzi wa kwenye majumba na sehemu za biashara, maofice n.k
 

Aibu ya nini mkuu, camera ya video production na hii ni aina mbili tofauti ndio maana nimeandika with the heading CCtv camera, nenda ka google what is cctv camera alafu urudi tena ku comment...
 
Mbona milion 20 bei kubwa sana,punguza kidogo

Nani kakwambia mil 20? Jina lako ni familiar kuna jamaa alikuwa anauza nyumba tabata ulimuaribia kweli kwa vijimaneno vyako, kwanza ww ni jinsia gani kabla sijaanza kujibishana na wewe?
 
mbona biashara nyingi mnapenda kutaja bei PM weka hapa tufanye analysis and evaluation other wise kuna namna hapo
 
Kama ni biashara kweli weka weka japo namba zako hapo. Business gani kama unauza madawa ya kulevya mkuu... funguka wwfanyie wepesi wateja wako....unahofu ya nini?
 
Mama Kibunju Swahiba,
Sijaweka kwa ubaya Habibt.
Hembu tupe Bei wangu,usiwe na Jazba[/QUOTE

NIKAJUA HABIBT WATAKA KUNTILIA KITUMBUA CHANGU MCHANGA YAKHEE! BEI NI 850,000 MAONGEZI YAPO AU PIGA 0719-808849
 
Kama ni biashara kweli weka weka japo namba zako hapo. Business gani kama unauza madawa ya kulevya mkuu... funguka wwfanyie wepesi wateja wako....unahofu ya nini?

Samahani mkuu nilikuwa nje ya nchi bei ni 850,000 Maongezi yapo na namba ni 0719-808849
 
Hapo mwake Swahiba.

Hembi nijuze kwanza,Camera zake ni za muundo gani.Maana wengine washamba.Hembu tupia kapicha kidogo.

Maana imenivutia kwamba hata nikiwa Mkoani naweza kufumania mwizi aisee hii kiboko.

Bei sio mbaya,hata kama mie sio mteja,maana Dream house yangu bado kidogo.Ikikaa sawa lazima nifunge hiyo kitu aisee.

Kuna yale Macamera ya nje makubwaa,maana yale naona kama vile mwizi akipiga jiwe linakata network,na kuna zile ndogo unaweka kwenye angle ya nyumba,zile ndio mwake.

Hembu tupe Habibt.
 
Oyaa,jamani nunueni kwa Usalama wenu nyie mliopo Dar.

Juzi nilikuwa tabata kuna vibaka wanaingia nyumba kwa kuchupia ukuta na kutoka kimya kimya.
Na wengi wanajirejea maeneo hayo hayo hasa nyumba ambazo usalama hakuna.Lakini ukimnasa mmoja tu kwenye Camera kesho unammkuta mtaani.Kibano anataja wenzie.Utaishi shwariii,maana vibaka wa Kule ni watu wanaoishi hapo hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom