Air Condition / Gari / Toyo Vinauzwa

Air Condition / Gari / Toyo Vinauzwa

Zainab Tamim

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
1,293
Reaction score
583
1. Gari aina ya Caldina station wagon, ipo katika hali nzuri sana. Haitumiwi sana, picha na maelezo zaidi baadae.

Bei 6 M.

2. Air condition mbili, zimefungwa hazijatumika kabisa, mradi haukuanza, Aina ni GREE made in China.

a)36,000 Btu
Bei 1.5 M

b) 18,000 Btu,
Bei 800,000

Zote ni split units.

3. Toyo pickup tricycle, ilinunuliwa kwa ajili ya mradi, mradi haujaanza, imetumika kidogo sana.

Bei 2.5 M.

Anaetaka kuona, item 1 na 2 vipo Sinza Dar. Item 3 ipo Misugusugu, Kibaha. Karibu na checkpoint ya TRA.

Kwa maelezo zaidi piga simu 0756803528 uliza Mzee Abdu.
 
Mkuu nikusaidie kwenye air conditions, kwanza hizo but rekebisha no 18,000 na 36,000 . kuhusu being ac hats ufunge Leo na kuifungua Leo hihi hiwezi kupata tens zaidi ya 600,000 iwe split cassatte ama window na Mimi no mdau mkubwa kwenye sector hiyo. Fanya ichunguzi wako utaona, ikishachomwaa/unganisha pipe kwa moto thamani take imepotea.
Jambo jingine ac kubwa kuanzia 18btu no ngumu sana kuuzika maana zinahitajika maofisin kwa ajili ya kupoozalarge area. Hivyo being zake zipo chini due to low demand
 
Mkuu nikusaidie kwenye air conditions, kwanza hizo but rekebisha no 18,000 na 36,000 . kuhusu being ac hats ufunge Leo na kuifungua Leo hihi hiwezi kupata tens zaidi ya 600,000 iwe split cassatte ama window na Mimi no mdau mkubwa kwenye sector hiyo. Fanya ichunguzi wako utaona, ikishachomwaa/unganisha pipe kwa moto thamani take imepotea.
Jambo jingine ac kubwa kuanzia 18btu no ngumu sana kuuzika maana zinahitajika maofisin kwa ajili ya kupoozalarge area. Hivyo being zake zipo chini due to low demand

Ahsante nimebadili Btu.

Kuhusu bei, hiyo ya 18,000 Btu kama upo serious ntashusha kiasi.

Hiyo ya 36,000 Btu bei haishuki hata kidogo, kweli ni ya kupoozea sehemu kubwa, demand ni ndogo lakini ipo. Hata sisi tulipoihitaji tuliinunuwa mpya kwa bei ya juu sana.

Hizo zote ni kama mpya kabisa maana baada ya kujaribiwa hazijatumika tena, ziliwekwa kwenye ofisi na mradi haukufanyika, sasa tunazitafutia mnunuzi, huo mradi haupo tena.
 
Sasa Aunt Zainab's Natural Super Clay, sasa imeonesha matumaini makubwa kwa wale wenye vipara na wale wenye matatizo ya kung'oka nywele, nywele zisizo na afya, nywele zinazokatika katika, nywele zinazong'oka kwa kutumia madawa ya nywele yenye kemikali kali, nywele zinazong'ka kwa kuvaa sana mawigi, nywele zinazong'oka baada ya kusukia nywele za bandia kwa muda mrefu.

Nimemjaribu mwanangu mwenyewe ambae alikuwa na kipara kinachokuja kwa kasi, na haya ni matokeo baada ya kutumia Aunt Zainab's Natural Super Clay kwa wiki nne tu, jionee mwenyewe: Unatokwa na Nywele? Una Kipara? Jionee maajabu ya...'
 
Ahsante nimebadili Btu.

Kuhusu bei, hiyo ya 18,000 Btu kama upo serious ntashusha kiasi.

Hiyo ya 36,000 Btu bei haishuki hata kidogo, kweli ni ya kupoozea sehemu kubwa, demand ni ndogo lakini ipo. Hata sisi tulipoihitaji tuliinunuwa mpya kwa bei ya juu sana.

Hizo zote ni kama mpya kabisa maana baada ya kujaribiwa hazijatumika tena, ziliwekwa kwenye ofisi na mradi haukufanyika, sasa tunazitafutia mnunuzi, huo mradi haupo tena.
mkuu, huo mradi ulikuwa mradi gani, ninahitaji air condition moja lakini kabla ya kununua ningependa kufahamu background ya huo mradi ulikuwa mradi wa nini....lengo langu ni kutaka kununua kitu authentic/genuine nisijenunua kwa mtu iliyoibiwa au yenye matatizo ya namna hiyo.
 
Mkuu nikusaidie kwenye air conditions, kwanza hizo but rekebisha no 18,000 na 36,000 . kuhusu being ac hats ufunge Leo na kuifungua Leo hihi hiwezi kupata tens zaidi ya 600,000 iwe split cassatte ama window na Mimi no mdau mkubwa kwenye sector hiyo. Fanya ichunguzi wako utaona, ikishachomwaa/unganisha pipe kwa moto thamani take imepotea.
Jambo jingine ac kubwa kuanzia 18btu no ngumu sana kuuzika maana zinahitajika maofisin kwa ajili ya kupoozalarge area. Hivyo being zake zipo chini due to low demand
mkuu, nahisi wewe utakuwa mtaalamu kwenye hayo mambo ya AC. naomba kuuliza, mke wangu anafungua duka la dawa/pharmacy mbeya mjini. mbeya kuna baridi, lakini nahisi nitahitaji pia AC ili mlango ubaki umefungwa muda wote. kati ya hizo mbili unafikiri ni ipi itafaa kwa duka la dawa, yaani hiyo ya ofisi kubwa na hiyo nyingine iliyobaki.asante.
 
Back
Top Bottom