Nawasalim wote,
Nauza gari, ni PRADO T108 BEU,Nahitaji milioni 30 tu, pia mazungumzo yapo. Gari ipo katika hali nzuri na inatembea na haina tatizo lolote.
Nimepata chuo UK, hela niliyonayo...
Hamjambo wadau,
Nahitaji kununua gunia 200 ya mahindi safi kwa bei safi kila baada ya siku 3. Bora zaidi ikiwa mahindi yako Arusha au karibu na Arusha. If you are able to cover my demand kindly...
IPhone yangu ilianguka ikazima na sihitaji kupeleka kwa fundi coz nachukua 5s,kama kuna Fundi anaehitaji vifaa vya hyo simu anitafute,nipo Shy Town 071838863
Vitanda vinauzwa , vimetumika vilikuwa vikitumiwa kwenye lodge hapo kabla.
Vipo size tofauti kuanzia 6*6 mpaka 3*6
Ni full kitanda na godoro lake.
Vinapatikana Dar es Salaam, Temeke
Bei maelewano...
husika na mada tajwa hapo juu nahitaji nokia 1280 isiwe na tatizo lolote.Iwe haijatumika xana,isiwe na michubuko.Iwe inakaa na chaji,.MWENYE NAYO ANICHEK
Habari wana biashara wenzangu,
Nauza simu tajwa hapo juu ina GB 64 iko ktk good condition bei ni 520 na ni nyeusi. Napatikana kwa namba 0713806766. nipo Sar. Internet haiko active kwa ku-attach...
Wananchi
Nina viwanja nauza maeneo na Kigamboni karibu na mradi wa Dege na Kivule Gongo la Mboto. Hivi vya Kivule vina hati vya Kigamboni havina hati lakini vishapimwa. Bei maelewano.
Mhitaji...
Salamu humu,
Kiwanja Duluti kinauzwa bei million 5.5 tu ukubwa 18 kwa 14 number 0753186816 Kiwanja kingne kinauzwa 20/20 Maji ya chai imbaseni bei Million 6.5.
Number 0755183032
Karibuni
Karibuni wadau,
Nauza mashine yangu ya kuangua vifaranga vya kuku, bata, bata bukene, bata mzinga, kwale na ndege wengineo wengi tu. Mashine ni Brinsea Incubator (380 Ova Easy). Hii mashine ni...
Nauza simu tajwa hapo juu, ambayo imetumika kwa miezi sita. Ni kama mpya, haina michubuko yoyote na unapata pia betri mbili, charger original, boksi lake na kitabu. Namba yangu ni 0753/0715...