kwa wale wanaozijua,ipo katika hali nzuri na ni nzuri pia kwa wale wacheza games.Imetumika masaa 74 na bado ni sealed, katika hali ya upya kabsa
ACER PROJECTOR X110 3D DLP
Part No -...
Imetumika miezi mi4 ila ipo ktk hali nzuri sana kimuonekano na hata kiufanisi wa kazi
SIFA ZAKE
=========
Front camera & back camera
Internal memory 4 GB
RAM 512 MB
size 3.5 inches
Bei tsh...
Wanajamvi,
Naomba kwa nayejua anipashe juu ya techno J7 - hii ni simu nzuri?
Ikilnganishwa na nyingine kwenye range ya 300,000 ni vipi?
Naomba kuwasilisha
Imetumika mwezi mmoja toka niitoe dukani, ina screen protecotr haina scratch yeyote,, ina support Pdf adobe,3d games,YouTube,
NETWORK
Technology GSM / HSPA
LAUNCH
Announced 2014...
Nauza duet mil 3.5 haina tatizo lolote inanusa mafuta cc900 imetembea 152,000km full sound pioneer &xplod inadaiwa kibali kimoja tu (road licence) mziki na rim tu gharama zake imecost 2 million...
Nauza viatu kwa kuanzia vya kike, bei inaanzia 10000-20000, walio ndani ya dar wanafikishiwa popote walipo, walio nje ya Dar kuanzia pair 10 tunaku2mia mzigo.
Kwa mawasiliano ni pm.
Nahitaji kiwanja medium au low density Mtwara mjini. kiwe kwenye maeneo ya wenye nazo au karibu na bahari. Kwa wenye nyumba ya kuuza mtwara maeneo mazuri na au karibu na bahari tafadhali tuwasiliane.
kichwa cha habari hapo juu kinahusika, kuna nyumba ya kisasa kabisa inapangishwa mtwara mjini maeneo ya ligula kwa jionee. nyumba iko ndani ya fence ina chumba tatu zenye master rooms, sebule jiko...
Habari wakuu.
Kuna Researcher alikuwa anataka nyumba ya Kununua,iwe karibu kabisaaa ya Gate la kuingilia Mbuga ya Serengeti National Park.
Mwenyenayo anaweza kuleta pendekezo lake nimtumie...
Nahitaji semi precious stones aina yoyote ile kwa bei yako. Kila aina ya precious stone iwe kwa kiwango kikubwa (weight wise). Nipo Dar-Es Salaam na Morogoro