Nyumba ya kisasa inapangishwa Mtwara mjini

Nyumba ya kisasa inapangishwa Mtwara mjini

yaser

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
1,361
Reaction score
299
kichwa cha habari hapo juu kinahusika, kuna nyumba ya kisasa kabisa inapangishwa mtwara mjini maeneo ya ligula kwa jionee. nyumba iko ndani ya fence ina chumba tatu zenye master rooms, sebule jiko na mengine kadhalika. kwa mawasiliano zaidi wasiliana na 0784 461 705 au 0773 308 372. bei ni rahisi kabisa karibuni wateja.
 
kichwa cha habari hapo juu kinahusika, kuna nyumba ya kisasa kabisa inapangishwa mtwara mjini maeneo ya ligula kwa jionee. nyumba iko ndani ya fence ina chumba tatu zenye master rooms, sebule jiko na mengine kadhalika. kwa mawasiliano zaidi wasiliana na 0784 461 705 au 0773 308 372. bei ni rahisi kabisa karibuni wateja.
bado ipo hii nyumba; je ya kununua naweza kupata
 
kichwa cha habari hapo juu kinahusika, kuna nyumba ya kisasa kabisa inapangishwa mtwara mjini maeneo ya ligula kwa jionee. nyumba iko ndani ya fence ina chumba tatu zenye master rooms, sebule jiko na mengine kadhalika. kwa mawasiliano zaidi wasiliana na 0784 461 705 au 0773 308 372. bei ni rahisi kabisa karibuni wateja.

Hakuna kibonde kwa maana maji kutuama? Ni mwaka au miez 6?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom