Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

hp, ram 4gb, internal memory 500gb, processor Intel (R) Core(TM) i3-2350M CPU @ 2.30GHz 2.30 GHz laki 4
0 Reactions
1 Replies
883 Views
viwanja vinauzwa eneo la vikawe njia ya kwenda bagamoyo karibu na shule ya baobab..umbali mfupi kutoka barabarani..ekari moja mill 22..kingine urefu mita 60 kwa 30 mill 15..kwa mawasiliano ni pm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bado ina hali nzuri kabisa.bei 170k.0659626782.picha ntext whats app
0 Reactions
1 Replies
703 Views
The eTrex Venture offers a worldwide database of cities and increased internal memory. The one megabyte memory capacity allows the eTrex Venture to accept downloaded information from Garmin's...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
RAM 2GB HDD 500 WEB CAM DISPLY 10.1 INCH OLNY FOR 400K WITH wallanty 0789521550
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Jamani wana JF kama kuna mzoefu wa kutengeneza Photocopy machine aina ya CANON np 2120, naomba tuwasiliane kwani mashine yangu haivuti karatasi. muhimu sana. Kwa yule mwenye uwezo anaweza kuniPM.
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Mimi nipo DAr Tabata...ni muuzaji mpya wa vifaa vya chadema kama tisheti...kofia za kapelo na zile za kawaida....Tatizo mimi kwa kuwa sina uzoefu mara nyingi nimekuwa nikinunua kwa bei ya jumla...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ninahtaji mdoli kwa ajil ya duka langu la nguo,kwa anaejua wap naweza kupata
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nahitaji DVD tajwa Hapo juu kwa bei ya Jumla
0 Reactions
2 Replies
1K Views
It is located at kariakoo ( congo/kibambawe street) nearby uba bank and dar city hotel, if your interested please contact 0776 000 084, 0754 889 999.
0 Reactions
0 Replies
762 Views
Mwenye simu tajwa nahitaji. iwe used kwenye hali nzuri au mpya. 0716683434
0 Reactions
8 Replies
2K Views
habar wakuu,nahtaj gar tajwa moja wapo hapo juu ,alienayo na anauza ani pm leo tumalize biashara kama tutaafikiana.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Brand new house Located kijitonyama 2 self contained bedrooms Sitting room, Kitchen, stoo, balcony Tiles,Gypsum,Feni, Iko ndani ya ukuta Car Parking Rent 350000tsh
0 Reactions
2 Replies
901 Views
Eneo lipo eneo la kiparag'anda Mkuranga ni heka tano na tayari limeshafanyiwa survey.Bei ni milioni 20.Mazungumzo yapo.Maelezo zaidi 0788 993076
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Ni kutoka India, kampuni ya DUBAO. Max power Ni 3.2 kv. Ina wire winding ya cooper. Miezi mitatu yangu inunuliwe. Liko Tegeta.bei Ni 500,000. Kwa mawasiliano 0755815174
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari, tuna incubators zenye uwezo wa hali ya juu sana ambazo zina sifa zifuatazo: 1. Zina emergency power source endapo umeme wa tanesco utakatika kwani zina system unayoweza kutumia solar power...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Heshima kwenu wakuu. Ninahitaji simu yoyote ya android yenye qwerty key board ya kawaida isiyokuwa touch au yenye option zote. Mwenye hii simu anambie tufanye bihashara. Pia naomba ushauri...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa kwa Tsh.130,000/= In good condition no scratches. Nimeshindwa kuweka picha coz ndio ninayotumia.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wapendwa natafuta chumba kimoja cha kupanga maeneo ya kigamboni, kiwe maoneo si ya kiswazi, pawe na maji, na choo kizuri, bajeti yangu ni 50,000 NB-ni chumba cha kuishi, kiwe na umeme, kiwe...
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Nawasalim, nauza kiwanja changu kipo mbagala, ni 45 kwa 60, kwa tsh milioni tatu tu, tuwacliane kwa namba 0652713522 na 0759272289, karibuni sanaaaa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom