Fundi wa Photocopy

Fundi wa Photocopy

Rahajipe

Senior Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
165
Reaction score
63
Jamani wana JF kama kuna mzoefu wa kutengeneza Photocopy machine aina ya CANON np 2120, naomba tuwasiliane kwani mashine yangu haivuti karatasi. muhimu sana.
Kwa yule mwenye uwezo anaweza kuniPM.
 
Wasiliana na mimi 0658 282633 0784 282633 kazi yako itafanyika.
 
wasiliana na JCS wako msimbazi kariakoo karibu na big bony no yao ni 0754686910 au ni 0717444949
 
Jamani wana JF kama kuna mzoefu wa kutengeneza Photocopy machine aina ya CANON np 2120, naomba tuwasiliane kwani mashine yangu haivuti karatasi. muhimu sana.
Kwa yule mwenye uwezo anaweza kuniPM.
Je mashine inakupa ujumbe huu: "Paper Jam" au "Change paper size"kila unapojaribu kutoa copy? Funguka nikusaidie
 
Jamani naombeni mnipe bei za cartridges ambazo zipo kwenye demand ili nilinganishe na hapa nione kama nawezaganga njaa...waweza pia ku text 00971504374387. Pia wino wa ku refill copiers...please advise
 
badilisha paper pick up rollers zitakuwa zimekwisha
 
Photocopier au copier. Haka ka lugha ka malkia kagumu kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom