Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari Zenu wapendwa, Kama una biashara binafsi , kampuni ...au ni wewe ni professional kwenye eneo lolote mfano engineering, marketing, medicine etc. Karibu Olcomlabs ..Tutakufanyia yafuatayo...
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Kuna nyumba inapangishwa ipo maeneo ya ipagala emaus ya pili ina sitting room, dinning room, jiko na vyumba vinne vya kulala, vitatu n vya kawaida na kimoja n master . Bei yake ni tsh. 250000/=...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Toyota Coasta box inauzwa mil 14 iko Dar es salaam kwa mawasiliano 0755570570, picha hizi hapa.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Sqm1600,block namba 1,,bei ni 20mil.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Viwanja viko kibamba shule ukubwa kuanzia Mita 20*20 bei 4.5milion bei inaongezeka Kulingana na ukubwa, vyote vinafikika kwa barabara, huduma Za umeme na maji zinapatikana. Kwa taarifa zaidi...
0 Reactions
0 Replies
937 Views
ram 2gbhdd 160 web cam disply 10.1 inch olny for 420k with warranty betre 7hrs an 4o mins 0789521550
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kabati bado lipo vizuri kabisa kama linavyoonekana pichani. Bei ni 230,000 laki mbili na thelathini pungufu unaongea na naamini tutaelewana. nipo Dar 0715553166
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Brand new Tecno c8 for 300,000/= call/whatsapp 0652735050
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nahitaji windows phone. Bajeti 250,000/= Utanipa simu gani. Niambie model na current status ya hiyo simu hapa hapa. Asante.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tecno winpad 10 kwa 700,000/= call/whatsapp 0652735050
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Pata selfie sticks ambazo kazi yake ni uezeshaji na uboreshaji wa picha za kamera ya mbele(selfie) Hii selfie stick itasaidia picha kutokea katika ukubwa zaidi na inasaidia kuwepo kwa watu wengi...
0 Reactions
2 Replies
952 Views
Ukubwa: 50m×20m Surveyed area Eneo: kinyerezi -bonyokwa Bei: 27,000,000/= contact: 0713851492
0 Reactions
0 Replies
889 Views
IPO tabata junction ya buguruni na ubungo. SMS 0787123085
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari JF, Nauza iPhone 5 ipo katika hali nzuri haina tatizo lolote. Nimeshindwa kuipiga picha coz simu haiwezi kujipiga. Ina run iOS 8.4.1 Kama uko interested karibu PM.
0 Reactions
1 Replies
929 Views
Habari wana jamvi ninahitaji graduate archtech,tafadhali awe graduate nina kijikazi kidogo tu nahitaji kumpatia graduate wa mwaka huu ili apate nauli ya kuzungukia mjini kutafuta kazi.kama ni wewe...
1 Reactions
1 Replies
961 Views
Brand new, unopened,brand:LG,Size:43,Model:LF540T,FULL HD,USB,HDMI,DIVN HD,FREE SATILITE CHANNELS,TRIPLE X ENGINE.Price:tsh 1,100,000.CONTACT SALLER: 0785448996 or 0718268969.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
naweza pata wap hawa wanyama. nahitaji nifuge sungura kwa ajili ya kitoweo. naweza pata wap kwa hapa dar. na kwa sh. ngap mmoja
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu mimi ni mfanyakazi wa serikalini,nina shida ya mkopo wa fedha kwa haraka,nipo mkoa wa simiyu
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kama unayo ramani naomba uje PM inahitajika haraka, asanteni cc Shark, Kingkong III
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habari zenu wakuu natafuta mahali wanauza hizi poker chips ambazo ni kwajili ya michezo ya kujifurahisha tu na wala sio zile zenye thamani kabisa za casino. Anaefahamu tafadhali ani-pm au comment...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom