Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 648
- 418
Mimi nipo DAr Tabata...ni muuzaji mpya wa vifaa vya chadema kama tisheti...kofia za kapelo na zile za kawaida....Tatizo mimi kwa kuwa sina uzoefu mara nyingi nimekuwa nikinunua kwa bei ya jumla makao makuu ya chama Kinondoni ambayo ni bei kubwa..
Ukija mtaani unakutana na wauzaji wenzangu wenye bidhaa ile ile lkn kwa bei ya chini...
Hakuna anayekubali kunipa ukweli wanapata wapi.
Kama kuna mdau ambaye vifaa hivyo anajua vinakopatikana kwa bei inayomlenga mlalahoi ambao ndo wengi wanapenda mabadiliko tuwasiliane inbox...
Ukija mtaani unakutana na wauzaji wenzangu wenye bidhaa ile ile lkn kwa bei ya chini...
Hakuna anayekubali kunipa ukweli wanapata wapi.
Kama kuna mdau ambaye vifaa hivyo anajua vinakopatikana kwa bei inayomlenga mlalahoi ambao ndo wengi wanapenda mabadiliko tuwasiliane inbox...