Habari zenu wakuu!
Ndugu yangu anaomba kujua gharama za kununua mashine ya/za kusafishia picha kwa mfano size ya 4X6, 5X7 nk
Yeye yupo mkoani na anatataka kufungua ofisi yake huko huko.
Je kwa...
Je una Harusi, Msiba ama shughuli inayohitaji kinga dhidi ya mvua na jua?? Tupigie tafadhali..
Bei zetu ni Tzs50,000 kwa tent kwa siku na Tzs400 kwa kiti kwa siku.
Kiwanja cha first beach kinauzwa. Kina upana wa mita 98 na urefu wa mita 120 kuanzia kwenye maji kuingia nchi kavu.
Ni beach ya mchanga na kina chake kinaongezeka taratibu sana kiasi kwamba hata...
hiyo mashine ni xyx2 model ya mwaka 2014 inachimba hadi mita 200 ilanina sticki za mita 150 tu inatumia diesel nauaji wamafuta ni mzuri san ukilinganisha namashine zingine inachimba hadi mita...
Habari zenu,
Nyumba mpya inapangishwa maeneo ya tegeta mivumi maeneo ya kiwanda cha wazo kwa mbele. Ni nyumba ya ghorofa moja.
Juu kuna vyumba vitatu selfu na kisebure kidogo na chini kuna...
Natafuta Nyumba ya kupanga
👉2 Bedrooms
👉Moja iwe Master
👉Choo cha ndani
👉Jiko
👉Sebule
👉Car park
👉iwe ndani ya Fence
👉 Maji 24...
Watu walio busy huwa hawali chakula katika muda unaotakiwa na inashauriwa ulaji mzuri pamoja na matunda na mboga mboga husaidia mmengenyo mzuri wa chakula, uzito, na nguvu. Virutubisho hivi...
Simu Aina ya Tecno Model yake C8 inauzwa. Ni model mpya ya Tecno yenye specifications sawa kabisa na smartphone yoyote kali. Bei sh. 270,000. Ina wiki moja toka nimenunua. Dukani inauzwa sh...
HEPUKA USUMBUFU WA MAJI YA WASIWASI SASA PATA MAJI YA HUHAKIKA NAYAKUDUMU
1 Tunachimba visima kwa mita 55,000 badala ya 65,000 kwa mwambao wapwani,
2 Tunafanya uchunguzi wa maji kama yapo...
Imetembea km 169000
Ya mwaka 2005
Ukubwa wa injini cc 1998
Petrol 16 valve vvti
manual sio automatic
Haidaiwi haina tatizo lolote
Linapatika Dar es salaam/ sinza
Bei 17,500,000mill punguzo lipo...
Max payne 3 kwa 50,000/=
street football4 kwa 35,000/=
ukitaka zote kwa pamoja ni kwa 70,000/=
bado ni mpya zina kama miezi 6
nicheki pm nicheki whatsapp au kwenye simu kwa 0718891984...
Ndugu zangu nauza HTC Desire 816 imetumika Mmwezi mmoja tu. Sababu ya kuiuza nna matatizo kidogo ya kifedha.
Bado ina box lake na charger. Price 450000 tu.
Specifications:
NETWORK...
A fully furnished four bed room house (one master bed room), store, kitchen, spacious sitting room and a common toilet and bathroom is available for rent at Gangilonga prime area in Iringa town...
Nahitaj msaada najua hizo cm sio bei zake ila nina shida na kahela kenyewe ndio hako kama unaweza kunisaidia kijana mwenzio na mimi nitumie kizur kama unachotumia wewe niuzie ila pia kama dau dogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.