Mashine ya kuchimbia visima inauzwa mpya

Mashine ya kuchimbia visima inauzwa mpya

Poxino

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
727
Reaction score
53
hiyo mashine ni xyx2 model ya mwaka 2014 inachimba hadi mita 200 ilanina sticki za mita 150 tu inatumia diesel nauaji wamafuta ni mzuri san ukilinganisha namashine zingine inachimba hadi mita 100 kwa lita 50
unapatikan Dar es salaam, Temeke chang'ombe

mzigo mpya kabisa kama unavyo honekana bei 65,000,000 maongezi yapo karibuni sana kwa mawasiliano 0755984282
 
mkuu angalia kwenye mtandao zinauzwa bei gani alafu kupitisha bandarini kisha utapata jibu nakama unahikua biashara hii iyo bei ya kawaida sana
 
Back
Top Bottom