Msaada bei za kununua mashine za kusafishia picha/studio

Msaada bei za kununua mashine za kusafishia picha/studio

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,523
Reaction score
14,002
Habari zenu wakuu!

Ndugu yangu anaomba kujua gharama za kununua mashine ya/za kusafishia picha kwa mfano size ya 4X6, 5X7 nk
Yeye yupo mkoani na anatataka kufungua ofisi yake huko huko.
Je kwa anayejua bei ya hiyo/hizo mashine na mahitaji yake kama karatasi,wino nk.

Nitashukuru sana,kupata msaada wenu.
 
Back
Top Bottom