damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,465
Habari zenu,
Nyumba mpya inapangishwa maeneo ya tegeta mivumi maeneo ya kiwanda cha wazo kwa mbele. Ni nyumba ya ghorofa moja.
Juu kuna vyumba vitatu selfu na kisebure kidogo na chini kuna chumba kimoja cha kulala,sebure,dining,store, jiko na choo cha public. Haijawahi kukaliwa na mtu na bado ni mpya.
Bei: 1000USD
Nyumba mpya inapangishwa maeneo ya tegeta mivumi maeneo ya kiwanda cha wazo kwa mbele. Ni nyumba ya ghorofa moja.
Juu kuna vyumba vitatu selfu na kisebure kidogo na chini kuna chumba kimoja cha kulala,sebure,dining,store, jiko na choo cha public. Haijawahi kukaliwa na mtu na bado ni mpya.
Bei: 1000USD