FOLOTA RUBBER STAMP
Tunatoa huduma zinazohusiana na mihuri aina zote.
HUDUMA ZETU
1. Utengenezaji wa Mihuri
2. Uuzaji wa vifaa vya mihuri aina zote
3. Matengenezo/Marekebisho ya mihuri...
VIVO Y71 RAM 6 STORAGE 128
Moja tsh 100000
Jumla kuanzia tatu 92000 tu
Pia unaweza kuagiza china kwa bei za viwandani
Tupo kariakoo karibu dukani pia mkoani unatumiwa
Call/whatsap +255713861567
Nauza XIAOMI REDMI 13C
storage yake ni 128gb,ram 6gb,
ina fingerprint pembeni, kila kitu chake ninacho, box receipt n.k na ina mwezi tu, iko poa na waranty kila kitu.
nauza 200k tu, nipo...
Kuwa na sababu kuu inayokufanya uchague kuwekeza kwenye ardhi na nyumba. Sababu yako kuu ndiyo itakuwa ni chanzo cha hamasa ya kujifunza kwa umakini uwekezaji huu. Wengine hupenda majengo ya...
Hawa jamaa wanapatikana Igoma,bango,(SUPER BLUE SKY)
Wanatoa huduma zote iwe kuweka mafuta, service kwenye gari yako, parking ya gari yako,kuosha gari yako,wana kila kitu mpaka mizani ya kupimia...
Mafanikio yanaanzia kwenye akili yako. Leo ninakushirikisha mambo mawili ambayo yanaweza kukuumiza. Endapo yatakuumiza pole na utanisamehe kwa hilo. Kusudi kuu la makala hii ni kuonyesha njia ya...
Pambe ya mjini, si unajua balaa la manjano sasa haya ni Mafuta yake 1000ml bei ni 40,000 tu karibuni Sana.
Piga simu 0692436124
Hii ni Body Repairing Wapendwa:
🌺Inaondoa weusi mwilini kwenye...
Nawatangazia fursa ya biashara kwa wamiliki wa viwanda, wamiliki wa malori na magari na wafanyabiashara wote na taasisi na kampuni mbali mbali nchini Tanzania.
Tunauza bearings, Oil seals na fan...
Kiwanja kinauzwa Njiro Temdo kwa nyuma. Kiwanja kina ukubwa sqmt 2198, urefu wa kiwanja ni 59.43 na upana ni 37 ni mita 900 kutoka njiro barabara kuu. Huduma za kijamii zinapatikana. Maongezi...
Habari,
Karibuni kwenye hii thread , ntakua na share products za umeme nnazouza , Ofisi yetu iko Msasani karibu na Hospital ya CCBRT
Tunauza kwa jumla na rejareja, kwa wateja wanaopenda...
Kwa muonekano mzuri wa ndevu zako tumia mafuta haya hujaza ndevu,huzipa ndevu mng’aro ,kuzuia muwasho,,kuzuia vipele na kuafanya ndevu zichanike kirahisi..
Suffer from a dry and brittle beard...
Wakuu habari za leo. Ninahitaji asali kama kiasi cha kilo kumi kwenda Ulaya. Nimekwenda posta wameniambia wao hachukui vimiminika. Naombeni msaada wakuu, njia ipi niitumie kusafirisha hii asali...
Habari wadau, nahitaji msaada wa mtu mwenye utaalamu/ufahamu wa kufunga internet point to point, kwa maana kwamba Nina Fiber internet access kwenye ofisi yangu moja point A(Tandale Chama) na ofisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.