Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mashine za kufulia za kisasa zipo karibu yako kwa bei nafuu. Ni za Kilo 4.5 - 120,000 tu Kilo 7 - 560,000 tu Bei zetu ni nafuu sana mtu yoyote anaweza ku afford Offer hii si ya kukosa kwa kipindi...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Fundi simu matatizo ya software anaejitambua Yupo hapa. Kazi zote za Kuondoa Lock simu za android na ios karibuni sana. Yawezekana kwa namna yoyote umesahau password ya simu uliyonayo Leta...
5 Reactions
12 Replies
935 Views
Mshkaji wangu kaingia States kaniachia mazaga zaga kibao geto sasa kuna hii air jordan tatizo size ya mguu hatuvaliani. Size 43, kiatu bado kipya kipya , bei chee tu tunafanya biashara. Kiatu...
0 Reactions
15 Replies
865 Views
Wakuu nahitaji laptop Hela niliyo nayo 500,000 Iwe na angalau sifa zifuatazo Ram 8GB STORAGE - SSD angalau 200 gb Generation 6+ Bluetooth, webcam, HDMI port LAZIMA Ukubwa wa Kioo usizidi nch 12...
2 Reactions
8 Replies
607 Views
MASHINE ZA JUISI YA MIWA ZIMEWASILI MILLION MOJA NA LAKI MBILI NA NUSU TU (1250000) JIPATIE MASHINE YA JUISI YA MIWA IMARA NA BORA KUTOKA CHINA ZIMEWASILI SASA UMEME KIDOGO SANA SIFA YA HIZI...
0 Reactions
125 Replies
20K Views
Siku moja nilipigiwa simu na msomaji wa makala zangu za mtandao wa UWEKEZAJI MAJENGO. Msomaji wangu huyu alijitambulisha kwa jina la Hassan. Maelezo yake yalikuwa kama ifuatavyo: Kulikuwa na...
0 Reactions
0 Replies
482 Views
Habarini godoro naliuza nilinunua 140k hapo mwez 5 sasa ivi naliuza 100k lina miezi miwili tu toka linunuliwe hapo nilipiga picha wakati nimelinunua nimetumia miezi 2 tu nasisitiza LC 5×6 Jaman...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Naomba kwa anayefahamu bei na aina mbalimbali za mashine ya kufyatua tofali ambazo ni imara anijuze bei, na sehemu zinapopatikana
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Vigezo vya kupewa huduma 1. Nida ID au namba ya nida 2. Tin certificate au Tin namba 3. Email 4. Pesa ya security deposit (Pesa ya dhamana) mfano unataka kifurushi cha ef40 unalipa ef40 kama...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nitaenda kwenye pointi. Huu uzi ni kwa ajili yako kama una matumizi makubwa sana ya internet ya na unatafuta unafuu. Nafanya Kazi Tigo. Kitengo cha Tigo Business. Wazee wa Postpaid Kwa kawaida...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu 1. Router ni bure 2. Router ni ya 5G 3. Tunakuletea popote 4. Vifurushi ni unlimited 5. Ina connect watu 65 at once umbali wa metre 100 Nini cha kufanya uwe na vifuatavyo Kama ni mtu...
2 Reactions
17 Replies
5K Views
Bei Ya China Bila Usafiri 3500 kwa pea Size 20-33 Pack 1 Makadirio Usafiri kwa meli 1000-2000 kwa pea (Unalipia baada ya mzigo kufika bongo) Makadirio Muda wa usafiri siku 30-45 Kima cha chini...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kutengeneza kipato cha majengo ni moja ya njia ya kujenga utajiri. Njia hii ya kumiliki majengo ya biashara ya kupangisha imeonyesha ufanisi mkubwa kuwasaidia wengine kujenga utajiri. Kipato cha...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Huku mkoa wa Lindi na Mtwara tunatarajia kuvuna mbaazi nyingi sana, je kuna mtu anajua bei ya Mbaazi kwa mwakahuu? Au matarajio ya soko litakuwa vipi? Mwaka jana najua soko liliyumba kidongo...
0 Reactions
50 Replies
14K Views
Udalali wa ardhi na majengo unahusisha huduma za kitaalamu zinazotolewa na madalali katika shughuli za kuuza, kununua, au kukodisha ardhi na majengo. Hapa kuna muhtasari wa masuala muhimu katika...
2 Reactions
2 Replies
788 Views
• Direction: Maduka Mawili • Condition: Ya kuhamia • Rent: TZS milioni 2/mwezi • Terms: Miezi 6 au mwaka • Security deposite: TZS milioni 2 (ilipwe mwanzo wa mkataba. Itarejeshwa mwisho wa...
2 Reactions
4 Replies
568 Views
Nataka YELLOW BEANS gunia 40 Kila wiki naweza kujia Arusha ama Moshi. Nope Bei ya gunia.
0 Reactions
0 Replies
209 Views
Habari, Moja ya maeneo yangu ya ushauri na utendaji kama ushauri na usaidizi ni katika kuchanganua mawazo ya uanzishashwaji miradi ya kiuchumi na kijamii pia uendelezaji wake. Na katika hayo...
0 Reactions
1 Replies
361 Views
Tunafunga CCTV camera Kwny Nyumba,maduka,biashara,ofisi,kiwanda,HOTELINI NK... Pia TUNAFUNGA ktk nyumba za mifugo kwa ajili ya kufatilia Hali Yao na hata ukiwa umesafiri mbali utaona vyote kupitia...
0 Reactions
0 Replies
698 Views
Back
Top Bottom