Mashine za kufulia za kisasa zipo karibu yako kwa bei nafuu.
Ni za
Kilo 4.5 - 120,000 tu
Kilo 7 - 560,000 tu
Bei zetu ni nafuu sana mtu yoyote anaweza ku afford
Offer hii si ya kukosa kwa kipindi...
Fundi simu matatizo ya software anaejitambua Yupo hapa.
Kazi zote za Kuondoa Lock simu za android na ios karibuni sana.
Yawezekana kwa namna yoyote umesahau password ya simu uliyonayo Leta...
Mshkaji wangu kaingia States kaniachia mazaga zaga kibao geto sasa kuna hii air jordan tatizo size ya mguu hatuvaliani.
Size 43, kiatu bado kipya kipya , bei chee tu tunafanya biashara. Kiatu...
MASHINE ZA JUISI YA MIWA ZIMEWASILI
MILLION MOJA NA LAKI MBILI NA NUSU TU (1250000)
JIPATIE MASHINE YA JUISI YA MIWA IMARA NA BORA KUTOKA CHINA ZIMEWASILI SASA UMEME KIDOGO SANA
SIFA YA HIZI...
Siku moja nilipigiwa simu na msomaji wa makala zangu za mtandao wa UWEKEZAJI MAJENGO. Msomaji wangu huyu alijitambulisha kwa jina la Hassan. Maelezo yake yalikuwa kama ifuatavyo:
Kulikuwa na...
Habarini godoro naliuza nilinunua 140k hapo mwez 5 sasa ivi naliuza 100k lina miezi miwili tu toka linunuliwe hapo nilipiga picha wakati nimelinunua nimetumia miezi 2 tu nasisitiza LC 5×6 Jaman...
Vigezo vya kupewa huduma
1. Nida ID au namba ya nida
2. Tin certificate au Tin namba
3. Email
4. Pesa ya security deposit (Pesa ya dhamana) mfano unataka kifurushi cha ef40 unalipa ef40 kama...
Nitaenda kwenye pointi.
Huu uzi ni kwa ajili yako kama una matumizi makubwa sana ya internet ya na unatafuta unafuu.
Nafanya Kazi Tigo. Kitengo cha Tigo Business. Wazee wa Postpaid
Kwa kawaida...
Wakuu
1. Router ni bure
2. Router ni ya 5G
3. Tunakuletea popote
4. Vifurushi ni unlimited
5. Ina connect watu 65 at once umbali wa metre 100
Nini cha kufanya uwe na vifuatavyo
Kama ni mtu...
Bei Ya China Bila Usafiri 3500 kwa pea
Size 20-33 Pack 1
Makadirio Usafiri kwa meli 1000-2000 kwa pea (Unalipia baada ya mzigo kufika bongo)
Makadirio Muda wa usafiri siku 30-45
Kima cha chini...
Kutengeneza kipato cha majengo ni moja ya njia ya kujenga utajiri. Njia hii ya kumiliki majengo ya biashara ya kupangisha imeonyesha ufanisi mkubwa kuwasaidia wengine kujenga utajiri.
Kipato cha...
Huku mkoa wa Lindi na Mtwara tunatarajia kuvuna mbaazi nyingi sana, je kuna mtu anajua bei ya Mbaazi kwa mwakahuu? Au matarajio ya soko litakuwa vipi? Mwaka jana najua soko liliyumba kidongo...
Udalali wa ardhi na majengo unahusisha huduma za kitaalamu zinazotolewa na madalali katika shughuli za kuuza, kununua, au kukodisha ardhi na majengo. Hapa kuna muhtasari wa masuala muhimu katika...
• Direction: Maduka Mawili
• Condition: Ya kuhamia
• Rent: TZS milioni 2/mwezi
• Terms: Miezi 6 au mwaka
• Security deposite: TZS milioni 2 (ilipwe mwanzo wa mkataba. Itarejeshwa mwisho wa...
Habari,
Moja ya maeneo yangu ya ushauri na utendaji kama ushauri na usaidizi ni katika kuchanganua mawazo ya uanzishashwaji miradi ya kiuchumi na kijamii pia uendelezaji wake.
Na katika hayo...
Tunafunga CCTV camera Kwny Nyumba,maduka,biashara,ofisi,kiwanda,HOTELINI NK...
Pia TUNAFUNGA ktk nyumba za mifugo kwa ajili ya kufatilia Hali Yao na hata ukiwa umesafiri mbali utaona vyote kupitia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.