Okoa gharama ya kununua taa mpya za gari yako,
Kwa kusafishiwa kupitia njia ya kisasa kabisa ambayo inazifanya taa zako kurudi katika ubora wake
Huduma hii imewavutia watu wengi wa jiji la...
ECO FARMS INNOVATIVES ni wasambazaji wa mashine za kisasa zenye ubora “Automatic” za kutotolesha vifaranga vya kuku, kwale, kanga, bata n.k. zenye ubora kwa bei nafuu.
Zipo za mayai 48, 96, 176...
Wakuu habari za wakati huu. I hope mmeamka salama wote.
Guys, kama unatafta kitu (chochote tu) kwa bei nzuri (used) ambacho kiko katika ubora mkubwa bado, cas naelewa mtu anahitaj kitu, maybe...
Kibaha msangani juhudi.
Kipo karibia na stend ya bajaji
Km 5 KUtoka morogoro road
Ukubwa mita 20 kwa 20
Milioni tatu na nusu.
Barabara nzuri ya lami.
Umeme na maji vimefika.
-Nauza Plots -Kibaha, Zegeleni.
ziko Mbilil, zimeungana kilometa 7 kutoka lami(Kituo cha Madafu).zimepakana na kiwanda cha Kuzalisha Mayai. Jumla ya square meter 1388.
Zina Hati Miliki ya Wizara...
CHUKUA HII🔥:
Je, Unatafuta Fundi Laptop & Desktop na smartphone ambaye anatatua Matatizo haya?
TUSTARY GRAPHIC DESIGNER AND WEB DEVELOPER. Najikita kuhakikisha nafanya Uchunguzi (Diagnosis) ya...
Logo ni utambulisho wa biashara yako sokoni
Umuhimu wa Logo ni kama umuhimu wa kitambulisho
Logo inatumika kuonyesha umiliki wa bidhaa na huduma zako
Kufanya biashara bila logo ni sawa na...
It’s always been believed across cultures worldwide, from East
to West, that thoughts are tangible in the visible world. In African
traditions, for instance, uttering the word “death” may require...
Habari wana JF
Nauza vifaaa vya kufanyia biashara ya chips pamoja na locationya kufanyia kazi kama ifuatavyo.
1. Kabati la aluminium ngazi 3
2. Jiko la gesi
3. Kalai
4. Jiko la kuchomea...
KIWANJA KINAHITAJIKA; TEGETA/BOKO/BUNJU/GOBA/MBEZI JUU/MAKONGO/SALASALA.
KIPAUMBELE KWA VILIVYOPIMWA HASA VYA WIZARA/MANISPAA
BUDGET 20 MIL (INAWEZA KU-ADJASTIWA KULINGANA NA SATISFACTION)
Karibuni.
NINI SIRI YA NAFSI ZILIZO TELEKEZWA?
Inahusu nini, inamhusu nani, kipi kipo nyuma yake? Ungana nami kwenye mtiririko huu uweze kuelewa NAFSI ZILIZO TELEKEZWA inahusu nini.
Mwaka 1991, ni mwaka...
Habarini! Kwa muhitaji na mfanyabiashara mwenye eneo viwanja vya saba saba Dar na anauhitaji wa turubai na kufungiwa idadi yoyote kwa makubwa na madogo yapo nakodisha hata ktk sherehe misiba nk...
Habari zenu maboss.
Karibuni sana, hapa utajipatia bidhaa kama vile mashuka, mapazia, mazulia, neti, mataulo, saa, picha za ukutani, coffee table.
vyombo kama sufria, hotpot, dinner set n.k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.