Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu, Nahitaji fremu ya 50k ya ukubwa wowote hata kama ndogo sana maeneo ya vingunguti machinjioni mpaka kwa mnyamani, hela ya soda ipo.
1 Reactions
0 Replies
310 Views
TUNAUZA MASHINE YA YA KISASA YA KUPANDIA MPUNGA | TWO ROW MANUAL RICE PLANTER | MASHINE YA KUPANDIA MPUNGA Bei ni 950,000Tsh Call/Text/WhatsApp: +255 714 636 375 joackcompany @mifugo_tz...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Madale njia ya kuelekea Mbopo umbali wa 1km kutoka lami. Kinaukubwa wa 1000 square meters Bei ni 40M Mazungumzo yapo Tucheki kupitia 0674630975 ama +255 714 796 778
0 Reactions
0 Replies
446 Views
TUNASHONA NA KUFUNGA MAPAZIA NYUMBANI NA OFFICN ● TUNA FANYA DELIVERY TANZANIA NZIMA 📌 TUNAPATIKANA KARIAKOO MTAA WA AGGREY NA SWAHILI. 🤙 0759557971
2 Reactions
0 Replies
326 Views
Natafuta Laptop Bei isizidi 600,000 Iwe Toshiba, dell, hp au mackbook. Iwe na angalau sifa zifuatazo Ram 8GB STORAGE - SSD angalau 200 gb Generation 8+ Bluetooth, webcam, HDMI port LAZIMA...
1 Reactions
2 Replies
404 Views
Shop Available for Rent. Ideal for Restaurant, Ice cream Place or Grocery store.. CITY CENTER, DAR ES.. WhatsApp @+255715547184
1 Reactions
2 Replies
447 Views
Kwenye makala hii nimekushirikisha vipengele muhimu zaidi vinavyotakiwa kwenye mkataba kati ya mmiliki na msimamizi wa hosteli. Ninaamini kwa kuzingatia mambo utaweza kupunguza changamoto nyingi...
1 Reactions
1 Replies
753 Views
Wana Forum, Salaam. Naombeni kutoa waraka wangu huu wa Shukrani kupitia Jamii Forums kwa Sababu ni Jamii furum hii ndio iliowajulisha wengi kuhusiana na ajali yangu ndipo namimi nilipoijua hivyo...
11 Reactions
49 Replies
11K Views
Wakuu naomba kujua bei za viwanja Boko hasa Ununuo road yaani Boko Basihaya na Boko kiujumla.
5 Reactions
25 Replies
1K Views
Hekari 1.5 inauzwa kiluvya gogoni milion 250 ipo mita 400 kutoka lami Morogoro road ■Huduma zote za kijamii zipo kama umeme na maji ■Kuna kiwanda cha tofari kinafanya kazi hapo ■Hati ya...
0 Reactions
1 Replies
335 Views
Mkali ujenzi zone ni wataalamu wa 1. Kuweka waterproof ili kuzuia kuvuja kwa contemporary house(hidden roof) 2. Kapaua aina zote za paa(roofing) 3. Tunafanya waterproof service on the slab...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
VIWANJA VINAUZWA GOBA KANTINA (MAKONGO ROAD) Viwanja vipo mita 30 tuu kutoka barabara ya Lami ya Makongo. Viwanja vipo tambarare kabisa. Dakika 2 tuu kutoka site mpaka Goba Centre. Dakika 15 tu...
0 Reactions
0 Replies
381 Views
Hii inaitwa panda kwenye gari na sio ingia kwenye gari. Mazda CX-5 Year 2013 Fuel Diesel CC 2180 Km 80k Price milion 27.5
3 Reactions
10 Replies
1K Views
TAWA WATER PROFFESIONAL Ni kampuni ya uchimbaji wa visima. Tunachimba visima Mashambani pamoja na kuchimba visima majumbani kwa matumizi binafsi. Pia tunafanya utafiti wa upatikanaji wa maji...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wapi napata apartment za bei rais tanga zenye kila kitu. Natakaa kukaa kwa wiki moja! Kwenu watanga.
0 Reactions
8 Replies
649 Views
Naenda kwenye point moja kwa moja. Jamani kama wewe ni mtu mwenye kupendelea kupendeza nyakati zote basi huna budi kumfikia huyu jamaa Location ni Mbezi beach Afrikana pia popote ulipo kwa Dar...
2 Reactions
0 Replies
372 Views
Lete Computer yako mbovu tukutengenezee! Tunafanya Services aina zote za Computers Tunauza Spares & Accessories za Computer aina zote Tupo Ilala Dsm 0718290779
0 Reactions
0 Replies
330 Views
Mikataba katika masuala ya ardhi na majengo ni nguzo muhimu ya kulinda maslahi yako na kuepuka migogoro ya baadaye. Kwa kuwa ardhi na majengo ni mali za thamani kubwa, bila mkataba ulio wazi na...
1 Reactions
0 Replies
486 Views
Back
Top Bottom