Ndugu Wana JF nauza gari langu milioni 5 aina ya mark two grande ya mwaka 2003, engine capacity CC 1980, engine 1G-FE VVT-i mawasiliano calls/WhatsApp 0789208897
Ofa Ofa ya nanenane imewafikia wakazi wa Dodoma mjini pata maziwa fresh na mgando kwa bei nafuu kabisa . Lita kwa 1600 na lita tano kwa 8000 tunafanya derivery bureeee🤹 kwa kiasi chochote maeneo...
CHUMBA MASTER MPYAA - NJIA PANDA YA SEGEREA JIRANI NA STAKISHARI POLISI
(A) Chumba Master Kubwaa Mpya - Kodi 100,000 miezi 6
Zipo Ndani ya Geti. Umbali wa Kutembea Kwenda kituoni dk 10
Maji...
Naitwa Nassor Khalfan Mugara nimepoteza VYETI VYANGU VYOTE vikiwa katika bahasha moja ya kaki tar 3/08/2024 Eneo la kibaha maili moja.
Kwa yeyote atakae fanikisha kupatikana kwake atapokea...
Hii simu (Samsung galaxy A04s) ni brand new kutoka dukani nimeitumia miezi 3. Naiuza kwa 300,000 tu! Maongezi yapo. Storage ni GB 128. Memory Ram 4Gb. Ni simu ya kisasa unaweza upgrade kwa mfumo...
Salam wakuu. Kwa yeyote anayehitaji huduma ya kuandikiwa kazi yake iwe kwenye word, Excel au PowerPoint, ndani ya muda mfupi muda wowote ule kijana nipo hapa kwa huduma hiyo.
✓ Kwa upande wa...
Shalom,
Hope mko poa asee.. makomando na wauza bucha kuna wembe hapa mkali sana kwa ajili ya kazi maalum
Ak47 CcCp mpyaaaa 💥🔥🔥
Shiling 20000 tu, free delivery
Niko mbagala hapa. Kokote nakuletea
Habari
Mota ya kuzungusha machine ya kusaga mahindi inauzwa. Mota hii ipo kibaha mkpa wa pwani. Ina Hz 50. Bei sh 1..8m. Anayehitaji karibu. 0758308193
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye kipaji cha uchoraji picha halisi ya kitu au mtu yeyote aina ya MONOKROMU ukubwa kuanzia A0,A1,A2,A3,A4 na A5.
Ni ombi langu kupokea kazi kubwa na ndogo za...
Habari wakuu,natafuta chimbo la spare za umeme wa magari kama vile taa,control box ,relays na vingine vinavyohusika na umeme wa magari liwe na bei nafuu ya jumla kwaajili ya kupeleka mikoani hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.