Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wanaJf,nilikuwa naomba kama kuna mtu anaejua bei za matank aniorodheshee za kuanzia lita 1000 mpaka lita 8000. Thanks in advance [emoji120]
1 Reactions
19 Replies
20K Views
Yamaha E 423 for sale sh 700,000
0 Reactions
1 Replies
645 Views
Wakuu, Tunasaidia kusajili kampuni au jina la biashara (Consultancy). Kwa Haraka na Ufanisi. UMBALI SIO TATIZO.
1 Reactions
0 Replies
239 Views
Nilipost biashara yangu ya Pub humu ambayo ipo kinyerezi mahakamani road inayoitwa Runway Pub. Hakika muitikio ni mzuri sana tofauti na mitandao mingine kama insta. Wana JF wengi humu...
55 Reactions
260 Replies
8K Views
• Direction: Sharifu Shamba • Rent: USD 500/month (payment in TSh is accepted) • Terms: 6/12 months • Brokerage fee: USD 500 • Viewing charge: TZS 20,000 . ✓ unfurnished ✓ lift & power backup...
3 Reactions
6 Replies
670 Views
Mwenye printer used inkjet yenye uwehio karibu
0 Reactions
13 Replies
764 Views
Hizi ni Sendo za kiume nzuri, imara na zilizotengenezwa kwa mikono. Hii ni bidhaa ya Kiafrika. nakuuzia kwa Tsh. 15,000 leo. Piga/WhatsApp: 0683535699, na nitakuletea ukiwa Dar.
5 Reactions
10 Replies
895 Views
Habari. Nauza baiskeli ya mazoez. Baiskeli ni used sio brand new. Haina tatizo lolote Bei laki 2 tu. ( fixed price)
0 Reactions
3 Replies
821 Views
Habari wajumbe! Nahitaji hiyo car diagnosis software, nilijaribu kutafuta moja inayoitwa techstream ila sikufanikiwa kuifanyia installation, hivyo kwa ambaye anaweza kuwa nayo please tell me.
3 Reactions
36 Replies
5K Views
Imepita miaka mingi wilaya ya masasi imegubikwa na mambo ya hovyo hovyo na hayaondoki kila siku hujirudia na utadhani hakuna viongozi wanaopaswa kutatua kero hizo 1. Umeme, sidhani kama kuna...
3 Reactions
2 Replies
384 Views
Makao makuu ya wilaya (District Headquarters) ni kitovu cha kiutawala na kiuchumi kwa maeneo yanayozunguka wilaya. Maeneo haya mara nyingi yanachochea ukuaji wa uwekezaji kwenye ardhi kutokana...
0 Reactions
0 Replies
448 Views
Tunauza nyama ya Ng'ombe tunatafuta tender za kusapply nyamba bei poa kuanzia 5kg tunakuletea hadi ulipo wasiliana nasi kwa simu namba 0716283599 Hata ukileta mteja utapata posho Tupo sinza...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari Zenu. Natafuta kiwanja kigamboni maeneo ya Geza au Kisarawe ii. Buget inaanzia mil 10. sharti kiwe na hati ya wizara. Mwenye nacho anichek pm
0 Reactions
7 Replies
737 Views
Nahitaji kununua mojawapo kati ya hizi Nadia Allex Spacio old/new. Bajeti yangu 5.5M Mwenye nalo anicheck
2 Reactions
10 Replies
947 Views
Kiwanja kipo Mabwepande 500 SQM’s Bei: 12M Kipo Karibu na Barabara kabisa. Hakina changamoto yoyote.
0 Reactions
3 Replies
628 Views
Modern contemporary house plan Do you need other samples ? Check me on +255742892195 call text whatsapp WE design and build your dream home
1 Reactions
98 Replies
7K Views
• Direction: Kijichi • Facilities: Main house (4 bedrooms, 3 washrooms); 2 servants quarter • Plot Area: 3,800 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 450 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓...
3 Reactions
5 Replies
710 Views
Habari zenu Naitwa neema, nina miaka 26 na nimemaliza degree ya Account and Finance, kama mnavyojua kazi changamoto, nimeshatuma cv sehemu nyingi na kufanya interview lakini bado hali ni ngumu...
2 Reactions
3 Replies
383 Views
Back
Top Bottom