Mashine ya kuprint T-shirt heavy duty

thewailers

Member
Jan 30, 2023
13
9
Wadau habari za muda huu? nahitaji kujua mashine nzuri ya kuprint t-shirt, mtengenezaji, bei yake na pia kwa Dar nitapatia wapi? Asante
 
Kuna jamaa yangu ana ofisi kariakoo, nilienda kufanya kazi moja hivi, ile machine yake ni really heavy duty. Aliniambia kaiagiza tola Japan kwa $80,000. Ile machine inafanya kila aina ya printing (sina ujuzi na hizi kazi) ila alinihakikishia hivyo.
 
Kuna jamaa yangu ana ofisi kariakoo, nilienda kufanya kazi moja hivi, ile machine yake ni really heavy duty. Aliniambia kaiagiza tola Japan kwa $80,000. Ile machine inafanya kila aina ya printing (sina ujuzi na hizi kazi) ila alinihakikishia hivyo.
$80,000 mashine ya kuprint t shirt atairudisha hipo pesa lini?
Tatizo hatunaga washauri katika uwekezaji
 
$80,000 mashine ya kuprint t shirt atairudisha hipo pesa lini?
Tatizo hatunaga washauri katika uwekezaji
Aaah mzee nimeelezea machine ya kuprint kila kitu, nadhani hadi t-shirt inafanya. Zinazoprint t-shirt hazifanyi kazi kama banners? Ili nifute comment yangu chap😁
 
Aaah mzee nimeelezea machine ya kuprint kila kitu, nadhani hadi t-shirt inafanya. Zinazoprint t-shirt hazifanyi kazi kama banners? Ili nifute comment yangu chap😁
Wewe huna kosa.
Kosa ni huo uwekezaji hawezi kurudisha pesa hiyo kamwe.
Mashine itaanza kuhitaji service kubwa kabla hajarudisha hizo 184,000,000/-
 
Wewe huna kosa.
Kosa ni huo uwekezaji hawezi kurudisha pesa hiyo kamwe.
Mashine itaanza kuhitaji service kubwa kabla hajarudisha hizo 184,000,000/-
😂😂😂usiolijua bhana...unajua vizuri tender za branding mkuu?? Au unazungumza kisa umeona hio dola 80,000 ni nyingi kwako?? Watu wanasecure branding deals on retainer na wanalamba hadi +20Mil na zaidi kulingana na package na hapo ni client mmoja tu.
 
Kuna jamaa yangu ana ofisi kariakoo, nilienda kufanya kazi moja hivi, ile machine yake ni really heavy duty. Aliniambia kaiagiza tola Japan kwa $80,000. Ile machine inafanya kila aina ya printing (sina ujuzi na hizi kazi) ila alinihakikishia hivyo.
Kwa bei hiyo atakuwa na uhakika 2025 wa kuprint t shirt za chama cha kijani nchi nzima
 
😂😂😂usiolijua bhana...unajua vizuri tender za branding mkuu?? Au unazungumza kisa umeona hio dola 80,000 ni nyingi kwako?? Watu wanasecure branding deals on retainer na wanalamba hadi +20Mil na zaidi kulingana na package na hapo ni client mmoja tu.
Kwamba $80,000 ni nyingi kwangu?
Umejisemea tu
 
Kuna jamaa yangu ana ofisi kariakoo, nilienda kufanya kazi moja hivi, ile machine yake ni really heavy duty. Aliniambia kaiagiza tola Japan kwa $80,000. Ile machine inafanya kila aina ya printing (sina ujuzi na hizi kazi) ila alinihakikishia hivyo.
Ni sawa na kiasi Gani kwa pesa ya kitanzania?
 
Kuna jamaa yangu ana ofisi kariakoo, nilienda kufanya kazi moja hivi, ile machine yake ni really heavy duty. Aliniambia kaiagiza tola Japan kwa $80,000. Ile machine inafanya kila aina ya printing (sina ujuzi na hizi kazi) ila alinihakikishia hivyo.
Labda umeongeza sifuri alimaanisha $8, 000 hyo pesa ndefu ili uweze kurudisha na kupata faida sio mchezo kwanza unatakiwa tayar uwe unafahamika pia uwe una matangazo sana hasa kwenye mainstream media out of that brother ur going to die
 
$80,000 mashine ya kuprint t shirt atairudisha hipo pesa lini?
Tatizo hatunaga washauri katika uwekezaji
Mashine aina hizi huwa zina options nyingi kidogo - zinaprint t-shirts, posters, kadi za mialiko/harusi na pia mpaka vikombe (mugs) na sahani za mapambo.

Kama zilivyo mashine nyingine kuna vitu vinavohitaji service vya muda mfupi na vya kila baada ya muda fulani (long term).

Hizi zinadumu sana kama utatumia kama unavyoelekezwa (jirani zangu wanayo tangu mwaka 2006).
 
Wewe huna kosa.
Kosa ni huo uwekezaji hawezi kurudisha pesa hiyo kamwe.
Mashine itaanza kuhitaji service kubwa kabla hajarudisha hizo 184,000,000/-
Kakaaa inaonekana mawazo yako ni ni ya bukubuku. Unashangaa 184m?

Shoper kanunua eneo la kuijenga shopers yake kwa 700m. Hilo ni eneo tu.

Mkuu watu wanaweka pesa ili wapate pesa
 
Kakaaa inaonekana mawazo yako ni ni ya bukubuku. Unashangaa 184m?

Shoper kanunua eneo la kuijenga shopers yake kwa 700m. Hilo ni eneo tu.

Mkuu watu wanaweka pesa ili wapate pesa
Daah nchi hii watu wanajua kujitoa ufahamu sana, ningefurahi kama ungesema wewe mwenuewe umewekeza zaidi ya hiyo kumbe unaongelea wanaume wengine?

Kwa taarifa yako akili yako haijaelewa nilichomaanisha, sio wingi wa pesa bali aina ya biashara

Nchi hii hata chizi huwaita wazima ni machizi hivyo siwezi kukushangaa saaana
 
Daah nchi hii watu wanajua kujitoa ufahamu sana, ningefurahi kama ungesema wewe mwenuewe umewekeza zaidi ya hiyo kumbe unaongelea wanaume wengine?

Kwa taarifa yako akili yako haijaelewa nilichomaanisha, sio wingi wa pesa bali aina ya biashara

Nchi hii hata chizi huwaita wazima ni machizi hivyo siwezi kukushangaa saaana
Mkuu samahani hv unafahamu bei ya kuprint t-shirt Moja ni kiasi gani na pia ukumbuke Kila week Kuna design mpya ya t-shirt zinaprintiwa k.koo na kusambazwa nchi nzima mm nauza t-shirt naelewa
 
Aaah mzee nimeelezea machine ya kuprint kila kitu, nadhani hadi t-shirt inafanya. Zinazoprint t-shirt hazifanyi kazi kama banners? Ili nifute comment yangu chap😁
Alikupiga changa la macho huyo jamaa yako au hukusikia kwa uzuri, nadhani ni $ 8,000/- siyo ulizoandika.
 
Screenshot_2023_0208_121132.jpg
ERoni hiyo ☝🏾 chombo inaprint kila kitu hadi zile kofia za site au gamboot, t-shirt nk, bei haifiki hata $5,000/-
 
Daah nchi hii watu wanajua kujitoa ufahamu sana, ningefurahi kama ungesema wewe mwenuewe umewekeza zaidi ya hiyo kumbe unaongelea wanaume wengine?

Kwa taarifa yako akili yako haijaelewa nilichomaanisha, sio wingi wa pesa bali aina ya biashara

Nchi hii hata chizi huwaita wazima ni machizi hivyo siwezi kukushangaa saaana
Sawa mzima. Kutoka kwa chizi
 
Kuna jamaa yangu ana ofisi kariakoo, nilienda kufanya kazi moja hivi, ile machine yake ni really heavy duty. Aliniambia kaiagiza tola Japan kwa $80,000. Ile machine inafanya kila aina ya printing (sina ujuzi na hizi kazi) ila alinihakikishia hivyo.
Naomba mawasiliano yake nataka anchapie logo kwenye t-shirt na kofia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom