Habari ya muda huu,
Nakodisha ambulance kwa miradi mbali mbali au hospital binafsi, pia nafanya usafirishaji wa miili ya marehemu toka sehem moja kwenda nyingine.
Napatikana Dar es Salaam
Kwa...
House for Sale
3 Bedrooms
1 Sitting Room
1 Kitchen
Plot size: 35 X 20
Location: Kibaha, Kwa Mathias, Tanzania
Price: 35,000,000 TZs ($15,225)
Call: +255 658 700 510
Nyumba ya vyumba vitatu.
Ina store ya jikoni, ina dining area.
Ipo kwenye compound yenye nyumba mbili, ila nyumba hii inajitegemea kila kitu - Umeme, na Maji.
Pia kuna heater za maji ya moto...
Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl)
Sehemu ya kazi
-Dar es Salaam
Majukumu yake
-Kufanya usafi wa nyumba ya wastani
-Kufua nguo za watu wawili tu
-Kupika chakula cha watu wawili...
JOEX MOTORS TANZANIA LTD, ni kampuni tanzu kutoka Joex Holding Group, sisi ni waagizaji wa magari yaliyotumika kutoka Japan na Europe, tunaagiza, na kuuza magari yenye auction grade ya kuanzia 4.0...
HII NI KWA WATUMISHI WA SERIKALINI PEKEE
habari Banc ABC (African Banking Corporation) tunakukaribisha uweze kujipatia mkopo
Vigezo vya kupata mkopo wa fedha kwa watumishi wa Umma.
1. Uwe na...
Mzuka wana Jamvi.
Tuna aina tofauti tofauti za Dawa za asili za India kutoka kampuni ya Himalaya na pia kutoka kampuni zingine ila zote ni za India.
Dawa zilizopo ni za;
1. Watoto
2. Dawa za...
Nimehama makazi ila kuna vitu vya ndani sijahama navyo hivyo navitoa bure kwa mtu anahitaji(mwenye shida kweli) au kama unamjua anayehitaji.
-Godoro zima kabisa
-Nguo- mashati, Tshirts na surual...
Zara OG sinaga kazi mbovu 40000.
Karibu sana, ni ngumu mno hivi viatu na ni fashionable ndio habari ya mjini kwa sasa.
Size zilizopo ni 37, 38, 39, 40 41 na 42
No za order ni 0712163738.
TUPO...
Nauza kitanda na godoro
Kitanda ni 5/6 mbao ni mninga
Godoro ni QFL dodoma nchi 8 ukubwa ni 5/6
Vyote nauza kwa 300k tu
sababu ya kuuza ni alikuwa anatumia mwanangu now nmemnunulia vipya
Karibu...
Nauza kiwanja changu maeneo ya Mvuti (kina msingi mkubwa wa nyumba ya vyumba vinne; viwili master, dining pamoja na jiko).
Kama unatoka Chamazi kipo mkono wa kushoto, ukiwa unatoka Chanika Kipo...
Banda lisiwe kubwa sana just size ya fut 5 x5 au 5x6
Location mwanza, lisiwe chakavu nitafurahi likiwa maeneo changamfu au kama bado halijaingia sokoni sio mbaya nicheki dm
Ni mambo machache ambayo ni muhimu kwa afya zetu kama maji. Kila seli, misuli, na kiungo katika miili yetu hutegemea maji kufanya kazi ipasavyo.
Lakini kuna tatizo: Sio maji yote ya kunywa...
Habari
karibu CHAMPION PAINT SHOP ni wauzaji wa rangi za nyumba, pia tuna mashine ya kuchanganya rangi mbalimbali Kwa kutumia kompyuta, BEI ZETU ni nafuu sana tunapatikana Mwenge-Lufungira
Karibu...
Habari zenu
Karibuni seti ya TV show case na coffee table yake. Zimefka full seti n 370,000 Tu bei ya jumla. Tv show case pekee au meza pekee n 230,000. Zpo chache. Nafanya Delivery dar na...
Habar za siku nyingi wakuu.
Kama title ya uzi ilivyo.
Nahitaji space ya kupanga kwa ajili ya matumizi ya ofisi.
Eneo pendekezwa ni kama:
Temeke
Kigamboni (around kibada mpaka Kongowe)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.