Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari ya muda huu, Nakodisha ambulance kwa miradi mbali mbali au hospital binafsi, pia nafanya usafirishaji wa miili ya marehemu toka sehem moja kwenda nyingine. Napatikana Dar es Salaam Kwa...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
House for Sale 3 Bedrooms 1 Sitting Room 1 Kitchen Plot size: 35 X 20 Location: Kibaha, Kwa Mathias, Tanzania Price: 35,000,000 TZs ($15,225) Call: +255 658 700 510
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nyumba ya vyumba vitatu. Ina store ya jikoni, ina dining area. Ipo kwenye compound yenye nyumba mbili, ila nyumba hii inajitegemea kila kitu - Umeme, na Maji. Pia kuna heater za maji ya moto...
1 Reactions
3 Replies
395 Views
Natafuta binti mdogo wa kazi za nyumbani (housegirl) Sehemu ya kazi -Dar es Salaam Majukumu yake -Kufanya usafi wa nyumba ya wastani -Kufua nguo za watu wawili tu -Kupika chakula cha watu wawili...
9 Reactions
97 Replies
3K Views
JOEX MOTORS TANZANIA LTD, ni kampuni tanzu kutoka Joex Holding Group, sisi ni waagizaji wa magari yaliyotumika kutoka Japan na Europe, tunaagiza, na kuuza magari yenye auction grade ya kuanzia 4.0...
4 Reactions
7 Replies
607 Views
ON SALE🚘( EDY) BMW SERIES 3 KALI LOW MILEAGE 84000 YEAR 2OO6 ENGINE 1990 💺 🫧 CLEAN SEAT *Price (14.900.000) 0688591584 ✅Exchange allowed 📍Loc Dsm
0 Reactions
0 Replies
332 Views
Habari ndugu zangu kuna godoro naliuza qfl dodoma size: LC 5×6 bei 140K( negotiable) nipo dar es salaam. Karibuni sana
0 Reactions
4 Replies
527 Views
HII NI KWA WATUMISHI WA SERIKALINI PEKEE habari Banc ABC (African Banking Corporation) tunakukaribisha uweze kujipatia mkopo Vigezo vya kupata mkopo wa fedha kwa watumishi wa Umma. 1. Uwe na...
3 Reactions
82 Replies
8K Views
Mzuka wana Jamvi. Tuna aina tofauti tofauti za Dawa za asili za India kutoka kampuni ya Himalaya na pia kutoka kampuni zingine ila zote ni za India. Dawa zilizopo ni za; 1. Watoto 2. Dawa za...
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Nimehama makazi ila kuna vitu vya ndani sijahama navyo hivyo navitoa bure kwa mtu anahitaji(mwenye shida kweli) au kama unamjua anayehitaji. -Godoro zima kabisa -Nguo- mashati, Tshirts na surual...
3 Reactions
4 Replies
402 Views
Zara OG sinaga kazi mbovu 40000. Karibu sana, ni ngumu mno hivi viatu na ni fashionable ndio habari ya mjini kwa sasa. Size zilizopo ni 37, 38, 39, 40 41 na 42 No za order ni 0712163738. TUPO...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza kitanda na godoro Kitanda ni 5/6 mbao ni mninga Godoro ni QFL dodoma nchi 8 ukubwa ni 5/6 Vyote nauza kwa 300k tu sababu ya kuuza ni alikuwa anatumia mwanangu now nmemnunulia vipya Karibu...
1 Reactions
4 Replies
640 Views
-gentlemen watch for sale -brand CARTIER yenye mikanda kampuni ya HEUER -colour; classical silver -bei: 25,000 -contact: 0712518770 -DAR-ES-SALAAM
0 Reactions
1 Replies
779 Views
Nauza kiwanja changu maeneo ya Mvuti (kina msingi mkubwa wa nyumba ya vyumba vinne; viwili master, dining pamoja na jiko). Kama unatoka Chamazi kipo mkono wa kushoto, ukiwa unatoka Chanika Kipo...
2 Reactions
4 Replies
503 Views
Banda lisiwe kubwa sana just size ya fut 5 x5 au 5x6 Location mwanza, lisiwe chakavu nitafurahi likiwa maeneo changamfu au kama bado halijaingia sokoni sio mbaya nicheki dm
0 Reactions
0 Replies
305 Views
Ni mambo machache ambayo ni muhimu kwa afya zetu kama maji. Kila seli, misuli, na kiungo katika miili yetu hutegemea maji kufanya kazi ipasavyo. Lakini kuna tatizo: Sio maji yote ya kunywa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari karibu CHAMPION PAINT SHOP ni wauzaji wa rangi za nyumba, pia tuna mashine ya kuchanganya rangi mbalimbali Kwa kutumia kompyuta, BEI ZETU ni nafuu sana tunapatikana Mwenge-Lufungira Karibu...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Habari zenu Karibuni seti ya TV show case na coffee table yake. Zimefka full seti n 370,000 Tu bei ya jumla. Tv show case pekee au meza pekee n 230,000. Zpo chache. Nafanya Delivery dar na...
1 Reactions
2 Replies
497 Views
Habar za siku nyingi wakuu. Kama title ya uzi ilivyo. Nahitaji space ya kupanga kwa ajili ya matumizi ya ofisi. Eneo pendekezwa ni kama: Temeke Kigamboni (around kibada mpaka Kongowe)...
2 Reactions
8 Replies
711 Views
Habari wakuu nahitaji KUjua ni wapi naweza kupata kioo cha tv maeneo ya Mwanza!?
1 Reactions
1 Replies
536 Views
Back
Top Bottom