Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kabla ya huajajenga nyumba yenye paa la kujificha ( hidden roof) soma ushauri huu👇 👉Hiddenroof ni nyumba ambazo zilikuwepo toka miaka ya nyuma hivi karibuni Zimekuja kwa Kasi. Na zimeacha kilio...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
LAPTOP ZA BEI NAFUU ZAIDI KWA PICHA ZA LAPTOP NICHEK INBOX NITUMIE JINA LA LAPTOP HP PROBOOK X360 ITEL SSD 128 RAM 4GB BEI 335,000 🔥🔥🔥🔥 DELL 3189 SSD 128 RAM 4GB BEI 350,000🔥🔥🔥🔥 HP 640G1 CORE...
4 Reactions
31 Replies
11K Views
Bonjour Wakuu , mwaka huu nataka kulima mihogo , ila nasikia Huko mkuranga mihogo inakubali sana Sasa, kama mtu anaweza kunisaidia kupata shamba huko , naomba anichek 0742596431 Sio lazima...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Salaam wanajukwaa! JamiiForums ni moja ya majukwaa ya kijamii yenye manufaa makubwa kwa kizazi kilichopo na kijacho. Ingawa kuna baadhi ya vijana wanaingia na kuanza kuharibu jukwaa hili kwa...
3 Reactions
0 Replies
392 Views
Kama heading inavyojieleza natafuta mother board ya acer aspire es1-511 mwenye nayo ani DM tufanye biashara chapatu
0 Reactions
1 Replies
352 Views
Ni rahisi zaidi ikiwa utahitaji ramani kutoka kwetu. Tupigie 0621003092 Kisha eleza nini unahitaji na sisi tutayageuza mawazo yako kuwa uhalisia. We’re the Nation Of The People. Limbu Nation.
0 Reactions
2 Replies
638 Views
Kama bango lisemavyo, vitabu vyovyote cha mwaka wowote, mwandishi yoyote vya ambavyo unavyo husomi au huvihitaji basi mimi navihitaji hivyo. Popote vilipo duniani utaratibu wa kuvipata tutaratibu...
1 Reactions
4 Replies
381 Views
#001. NYUMBA YA VYUMBA 3 (KIMOJA MASTA) SEBULE, SEHEMU YA KUPATA CHAKULA, JIKO NA CHOO CHA FAMILIA. LOCATION- MBEZIBEACH GOIGI MITA MIA KUTOKA BAGAMOYO ROAD BEI - TSHS 150,000,000/=...
0 Reactions
0 Replies
475 Views
Vyumba vitatu, kimoja master, kimoja self, kingine single, sebule, dining, jiko, stoo na choo cha public. Kwa mahitaji ya ramani, ujenzi, ushauri n.k tuwasiliane 0719086787... Whatsapp & calls
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu mimi Niko hapa kwenu nawapa tip ya ujenzi hii hapa maana mimi kwenye ujenzi nmeboboa. Kutreat mbao kwa dawa zile za kijani kijani wanazopiga wengi wauzaji wa mbao. Oili chafu inadumu muda...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa ipo kibaha mwenda pole. Si mbali na barabara kuu iendayo dar es salaam. Ina vyumba 3 master 2 single Moja Ina sitting room dining room jiko store umeme maji mabanda ya kuku ya...
1 Reactions
0 Replies
428 Views
KIWANJA KIZURI KWA BEI YAKUTUPA _______ MAHALI-MEDELI WEST (MTAA WA SHOPPERZ/MORENA) _______ UKUBWA-1698Sqm _______ BEI-200M (FIXED) ________ MALIPO YA DALALI-10% (UNALIPA MTEJA)...
0 Reactions
5 Replies
561 Views
Habari wakuu. Samsung note 9 ipo sokoni ila ina shida ya kioo kinahitaji kubadilishwa. Storage 128GB Ram 6GB Bado ipo kwenye clean condition ukiacha kioo tu. Bei ya kubadilisha kioo ni 170k...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Leo napenda kuwasiliana na wewe mchakalikaji popote Tz na nje ya nchi .Kama unajengaKujenga nyumba katika eneo lenye chemchemi ya maji au eneo lenye asili ya maji kunahitaji tahadhari maalum...
5 Reactions
12 Replies
987 Views
Nyumba ipo Kange Mkurumuzi *Rooms 3 (Viwili master) *Sebule *Dinning *public toilet *Umeme *Maji Sqm 603 Price Milioni 39 (mazungumzo yapo) Call 0679991114 / whatsapp 0763316426
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Vitz old model inauzwa 1. Milango 5 2. Cc990 3. 1SZ FE engine 4. Haina deni, bima imelipwa 5. Engine ina kipengele, inarekebishika au inafaa kwa mswaki. Mimi nna gari nyingine 6. Bodi zima...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Chukua pikipiki kwa bei ya kutupa ukatumie ama biashara, yote juu yako. Chombo iko sawa, Changamoto ni kuweka break mpya ya mbele pamoja na tairi la mbele. Chombo inatoka kwa...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Howo tipper 371 used inauzwa, ni used kutoka China ina Hali Nzuri Sana, Karibu ofisini kwetu Kurasini opposite na diplomatic college, Pia utapata offer ya kufanyiwa service ya truck Kwa mwaka...
1 Reactions
3 Replies
427 Views
Habari wanajamii forum wenzangu naombeni msaada kwa anayejua bei ya mashine za kutengeneza stick tooth pick.
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Habarini ndugu zangu wa JF mimi ni mfanyabiashara wa viatu bei ndogo kabisa ambapo unaweza kupendeza kwa bei ndogo kabisa kwa sh 20000/=
2 Reactions
2 Replies
493 Views
Back
Top Bottom