Wana JF ninauza mashine ya Ceragem inayotumia umeme ambayo hutibu magonjwa yote isipokuwa yale ya kuambukiza kama vile HIV, TB, Malaria n.k Naiuza ikiwa na vifaa vyake vyote kwa Shs. 1.5m baada...
Tunatengeneza Dreids na Natural hair twist,popote ulipo tunakufata piga simu namba 0689494232kujua bei na kufanya appointment, Tupo Dsm mikoani pia tunaenda.
HESHIMA KWA WOTE.
Kuna tablet ya microsoft inatafuta mnunuzi....
Ipo katika ubora wa hali ya juu ingali ishatumika kidogo.
Ina Internal ya 10 gb,
Screen size: 7 inches
HAI INGIZI LINE,
Unaweza...
Habari wadau nahitaji pikipiki aina fekon ambayo imetumika miezi 3 hadi5 hivi
iwe katika hali nzuri sana nataka kwa ajili ya biashara
Offer yangu ni sh800,000/= kwa aliye nayo anaPM
thanks
Salaam wanajamii,
Nina viwanja vilivyo pimwa vimebaki vinne, vipo Dar es Salaam mpiji kilomita za makadirio
kama 8 hivi kutoka mbezi luise.
Bei ya kiwanja ni kuanzi Tsh 18M cha ukubwa wa 1049...
Habari Wadau,
Kwa yeyote anayemfahamu fundi mzuri (kwa uzuri namaanisha anayejua kufanya finishing vizuri) wa makabati ya jikoni + makabati ya nguo, ntashukuru kama utaweka namba yake hapa, au ni...
nauza simu aina ya tecno r7......internal memory 16gb, secondary camera 13mp, ram ni 2gb. imetumika miezi (7) michache...ina kila kitu chake kama ilivyonunuliwa na box lake lipo pia. mwenye...
:A S-omg:Ni sisi masindegroup blog creater and designer wasiliana nasi kwa namba 0766017907 au nitumie private msg tupo kihonda magorofani morogoro tuweze kukutegenezea blog yenye ubora hili uweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.