JIMMY BENNE
Member
- Apr 15, 2013
- 28
- 1
Wakuu juzi kati nimedondosha simu yangu bahati mbaya imevunjika Screen tachi. Je naweza kuipata wapi na gharama yake ikoje?
NB: Simu bado inatumika kama kawaida ila muonekano wake sio mzuri.
NB: Simu bado inatumika kama kawaida ila muonekano wake sio mzuri.