Khaa!! Chief mbona factor ya reactive load hujaiconsider? Au ana mafuta ya kuchezea? Masna hiyo ni inductive load kubwakva 100, hp 90 ni kama kw 67 ambazo ni kama kva 88 so ukiweka na safety factor apo chukua jenereta ya KVA 100 kabisa!!!
40HP=129.496 kVA
50HP=151.079 kVA
Khaa!! Chief mbona factor ya reactive load hujaiconsider? Au ana mafuta ya kuchezea? Masna hiyo ni inductive load kubwa
Sawa Kiongozikaka chek vzr hesabu zako hauko sahihi!!!!
kaka chek vzr hesabu zako hauko sahihi!!!!
Khaa!! Guys mnapataje kVA bila kujua power factor? Lazima nyie ni magenius. Kwa uelewa wangu hakuna mahusiano kati ys Hp na kVA40HP=37.3kVA
50HP=46.6kVA
khaa!! Bora kwani umechanganya mayai na machungwa40HP=37.3kVA
50HP=46.6kVA
Kama na hii siko sahihi natoka nduki hapa hapanifai
Khaa!! Guys mnapataje kVA bila kujua power factor? Lazima nyie ni magenius. Kwa uelewa wangu hakuna mahusiano kati ys Hp na kVA
Haya lete maujuzi, mleta uzi bado anasubiri jibu.khaa!! Bora kwani umechanganya mayai na machungwa