The Giant
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 504
- 96
Nahitaji Chumba maeneo ya mbagala kuu na maeneo ya jirani bila kutumia third party(dalali). Ni kimoja tu kiwe kikubwa na wapangaji wachache(1 to 2 preferably). Kiwe maeneo tulivu kama butcher au mgeni nani. Na huduma zile za msingi umeme na maji (hata Kama kwa jirani). Budget ni 30k per month, let me know. Kuhamia ni December.
Thanks!
Thanks!