Anatafutwa anayekopesha kwa hati ya kiwanja

Anatafutwa anayekopesha kwa hati ya kiwanja

Zamazamani

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2008
Posts
1,903
Reaction score
829
Wadau
Kama kuna taasisi au mtu binafsi anayekopesha kwa kuweka hati ya kiwanja kama security naomba ani- pm tafadhali
 
sema kiwanja chako kiko sehemu gani ,thamani yake ,mkopo kwa miezi mingapi na sh ngapi unahitaji , riba unataka iwe asilimia ngapi , ukijibu maswali hayo nipm ,

KIWANJA LAZIMA KIKAHAKIKIWE ARDHI
 
sema kiwanja chako kiko sehemu gani ,thamani yake ,mkopo kwa miezi mingapi na sh ngapi unahitaji , riba unataka iwe asilimia ngapi , ukijibu maswali hayo nipm ,

KIWANJA LAZIMA KIKAHAKIKIWE ARDHI

Kimoja kipo Kibada Kigamboni thamani 30-35m ,kingine Bamba Beach thamani yake 150-200m ,mkopo 15m kwa miezi mitatu hadi sita ,riba ni makubaliano na mtoaji lakini ni kati ya 10-15% kwa mwezi(hapa tutawekana sawa)

UHAKIKI NI LAZIMA
 
Back
Top Bottom