Shamba linauzwa Morogoro

Shamba linauzwa Morogoro

boyayoparuparu

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
343
Reaction score
82
Nauza shamba lipo wilaya ya mvomero mkoa wa morogoro,nina ekari mia moja,kwasababu nimeshindwa kuliendeleza nauza ekari 50 bei maelewano, gari linaingia mpaka shambani.nizuri kwa kilimo zao lolote linakubali
 
Wilaya ya mvomero sehemu gn na kijiji gn mm ntka sana mashamba morogoro
 
Tqjq kwanza njia ya kuelekea iringa or huku kwa kuelekea turiani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom