Tafadhali husikeni na kichwa cha habari, Ni unga ulio bora kabisa na unafaa kea matumizi ya watoto, watu wazima na wagonjwa. Umetengenezwa katika mazingira ambayo ni masafi na salama...ingredients...
nyumba ina vyumba vitatu, master bedroom mbili,store, basement,jiko,dining,sebule,vandaranda mbili, umeme maji barabara zipo
sh 500000tsh wasiliana
mama mosha no 0766169364
nyumba za kisasa selfcontained
nyumba no 1.
hi ina wigo, ina viunga vya kupendeza. vumba vitatu na master bedroom moja,study room, store, jikon, dinning,sebule, carpark kwa 400000tsh kwa mwezi...
Habari za leo wana jamii, ninauza Nissan Note yangu ya blue (2005) kwa sh 7 Milioni. Gari ipo katika hali nzuri na imetembea kwa umbali wa km 71,000. Kwa mawasiliano nicheki kwa 0686477879
NESBONY LANGUAGES AND SELF HELP SKILLS CENTER, inawatangazia nafasi za masomo (Based on Tuition) katika masomo yafuatayo:
English Language( For both American and British Accent based on...
Nauza incubator ya umeme. Ni automatic tuning na ina control humidity(unyevu) pia. Ni Imported kutoka UK na imetumika kidogo tuu. Uwezo wa mayai inayochukua ni 380 kwa kuku. Inaweza pia...
Habari zenu wana jamii.
Natafuta fremu ya kufanyia biashara maeneo ya kigamboni mjimwema,geza au ungindoni kwa yeyote mwenye taharifa kuhusu fremu za biashara maeneo hayo au karibu na maeneo hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.