Mashine ya Kamari

Mashine ya Kamari

Dola Iddy Wa Chelsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,535
Wakuu wapi naweza kupata mashine ya kamari kama hii kwa kununua hapa Tanzania manake juzi juzi mchina fulani alizileta hapa ushirombo Geita watu tukawa tunakula hela sio mchezo ila akaja kuzitoa zote sasa mimi nataka ninunue kabisa hata mashine 1 ili nipige mkwanja wa maana.
 

Attachments

  • Gamble.jpg
    Gamble.jpg
    169.2 KB · Views: 233
Kamari Kharam,
Dunia mapito mkuu,pesa hizo siku hiyo ni moto kwako.

Pesa za Camari Laana tupuuu,teena laana yenye kuendelea katika kila mali yako na kizazi chako.Na kulaani mpaka na malaika katika kila sekunde ya pumzi yako.
 
Back
Top Bottom