Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza incubator ya umeme. Ni automatic tuning na ina control humidity(unyevu) pia. Ni Imported kutoka UK na imetumika kidogo tuu. Uwezo wa mayai inayochukua ni 380 kwa kuku. Inaweza pia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wana jamii. Natafuta fremu ya kufanyia biashara maeneo ya kigamboni mjimwema,geza au ungindoni kwa yeyote mwenye taharifa kuhusu fremu za biashara maeneo hayo au karibu na maeneo hayo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza flash Za 8 GB Kwa 10,000 zipo nyingi Za kutosha Karibu sana. Napatikana Dar Es salaam na contacts Zangu Za whatsapp ni 0778080031
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza flash Za 8 GB Kwa 10,000. Napatikana Dar Es salaam na contacts Zangu Za whatsapp ni 07780800310 zipo nyingi Karibu sana
0 Reactions
0 Replies
972 Views
kama kichwa cha habari kinavyojieleza sehemu ni morogoro kilombero tunapatikana kwa namba 0716549528
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Iwe vizuri, kwa Kila kitu!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wakuu heshima kwenu, natafuta pikipiki used iliyotumika miezi isiyozidi sita, aina ya fekon au sanlg, iwe katika hari nzuri,n iwe nzima, iwe haijafunguliwa mashine, iwe nampya yaani hizi namb MC...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bei tajwa na simu tajwa nawasilisha
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habar Tunatengeneza mzuria ya kisasa kabisa kwa bei poa, tupo Dar Ukonga, tunapokea oda sehemu yoyote. Kwa anahitaji popote alipo ani PM. Bei ni ndogo kabisa na saiz zote zinapatkana ...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Masterbedroom with sittingroom and kitchen for rent at mjimwema kigamboni. Price: 150k per month. Contact: 0784 551606.
0 Reactions
1 Replies
885 Views
Samsung galaxy Note 2 inauzwa kwa bei chee 290 tuu kama unahitaji nicheki kwa 0659632840....hii ni kwa watu wa Arusha tuuu
0 Reactions
11 Replies
2K Views
I have a registered company in construction business, the company head office is in Dodoma Municipal. I am looking for a serious Partner in this business preferably he/she should also be...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana jamii forum...nauza wine ambazo hazijakua branded. Kwa atakae hitaji atume ujumbe kwa whatsapp number +255716376587
1 Reactions
8 Replies
1K Views
wakuu heshima kwenu, natafuta pikipiki used iliyotumika miezi isiyozidi sita, aina ya fekon au sanlg, iwe katika hari nzuri,n iwe nzima, iwe haijafunguliwa mashine, iwe nampya yaani hizi namb MC...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji chumba cha kupanga (single au master), kiwe maeneo ya Keko, Karume au Ilala Boma. Mwenye kuwafahamu madalali wa maeneo hayo tafadhali tuwasiliane.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
habari wana jamvi mie bado natafuta nokia nokia kati ya moja tajwa hapo juu mie niko mwanza kwa aliyonayo anicheki 0764339400
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Waungwana Nina kapesa kadogo nlipanga ninunue kapikipi kama usafir l?kini nkapima nkaona masika ntapata shida maana ilipanga boxer ASA nimeongeza kidogo jama mwenye nako ama jamaa zake anijuz...
0 Reactions
2 Replies
982 Views
Inauzwa 4500000 maongezi yapo kidogo
0 Reactions
2 Replies
826 Views
Naitaji pikipiki used... gharama mia 5-mia 7. Napatikana morogoro
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom