Nauza incubator ya umeme. Ni automatic tuning na ina control humidity(unyevu) pia. Ni Imported kutoka UK na imetumika kidogo tuu. Uwezo wa mayai inayochukua ni 380 kwa kuku. Inaweza pia...
Habari zenu wana jamii.
Natafuta fremu ya kufanyia biashara maeneo ya kigamboni mjimwema,geza au ungindoni kwa yeyote mwenye taharifa kuhusu fremu za biashara maeneo hayo au karibu na maeneo hayo...
wakuu heshima kwenu, natafuta pikipiki used iliyotumika miezi isiyozidi sita, aina ya fekon au sanlg, iwe katika hari nzuri,n iwe nzima, iwe haijafunguliwa mashine, iwe nampya yaani hizi namb MC...
Habar
Tunatengeneza mzuria ya kisasa kabisa kwa bei poa, tupo Dar Ukonga, tunapokea oda sehemu yoyote.
Kwa anahitaji popote alipo ani PM.
Bei ni ndogo kabisa na saiz zote zinapatkana ...
I have a registered company in construction business, the company head office is in Dodoma Municipal.
I am looking for a serious Partner in this business preferably he/she should also be...
wakuu heshima kwenu, natafuta pikipiki used iliyotumika miezi isiyozidi sita, aina ya fekon au sanlg, iwe katika hari nzuri,n iwe nzima, iwe haijafunguliwa mashine, iwe nampya yaani hizi namb MC...
Nahitaji chumba cha kupanga (single au master), kiwe maeneo ya Keko, Karume au Ilala Boma.
Mwenye kuwafahamu madalali wa maeneo hayo tafadhali tuwasiliane.
Waungwana Nina kapesa kadogo nlipanga ninunue kapikipi kama usafir l?kini nkapima nkaona masika ntapata shida maana ilipanga boxer ASA nimeongeza kidogo jama mwenye nako ama jamaa zake anijuz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.