Shamba heka nane linauzwa Tengeru, Arusha

Shamba heka nane linauzwa Tengeru, Arusha

hakisoni

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
476
Reaction score
100
Shamba lenye ukubwa wa heka nane linauzwa , liko eneo la tengeru chini karibu kabisa na chuo kikuu cha NELSON MANDELA, Arusha. km tatu toka barabarani, shamba limepakana na mto wenye maji kwa msimu, umeme umepita shambani ( siyo gril ya taifa) hata huduma ya maji ya bomba haiko mbali. Eneo hili liko tambarare na linafaa sana kwa mradi wowote kama shule, kiwanda nk. shamba lina hati miliki halina mgogoro wowote na mtu.

Karibuni sana, kwa mawasiliano Zaidi pls send PM. bei nimaelewano.
 
Ngoja kwanza wew ni Dalali Ama kiwanja ni Yako....???Tuanzie hapo kwanza...
 
yatakusaidia nini hayo? unataka kiwanja au unataka jua umiliki na udalali. wewe sio mteja!

Hapana jamaa yangu alilizwa mil 2 na Dalali na bado tajiri alimpa cha juu jumla alikula 2.5M kwa kiwanja cha Mill 9....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom