Nahitaji Mtungi wa gesi na king'amuzi cha Azam

Nahitaji Mtungi wa gesi na king'amuzi cha Azam

jashmoe32

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
1,099
Reaction score
438
Habari,

Nahitaji king'amuzi cha Azam.

Mwenye nacho naomba anipm ili tuweze kupatana bei.

Joel
 
Ukubwa wako na je uko complete au?Bei yake ikoje
 
Je ni mtungi mtupu au unakuja na vile vitu vya kuwekea juu ili iwe rahisi kwa mtu kupika?
 
Naona tunaongea lugha gongana!

Kwa kweli maana yeye kasema anataka mtungi, sasa anauliza na vitu vyake vitu gani? anataka mtungi au set ya jiko la gesi? yaani wabongo hata kujieleza tunashindwa anaishia kukuchosha tu...
 
Kwa kweli maana yeye kasema anataka mtungi, sasa anauliza na vitu vyake vitu gani? anataka mtungi au set ya jiko la gesi? yaani wabongo hata kujieleza tunashindwa anaishia kukuchosha tu...

Kweli HapakaziTU bila Elimu, elimu, elimu ni ngumu kufikia malengo! Nimeshindwa kumwelewa mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli maana yeye kasema anataka mtungi, sasa anauliza na vitu vyake vitu gani? anataka mtungi au set ya jiko la gesi? yaani wabongo hata kujieleza tunashindwa anaishia kukuchosha tu...

Kweli HapakaziTU bila Elimu, elimu, elimu ni ngumu kufikia malengo! Nimeshindwa kumwelewa mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Nimeeleweka kwa wengine ila kwa wachache kama nyie ndio sijaeleweka. Nimeshapata Mtungi na ni wa uhakika so issue iko closed.
 
Nashukuru kama umeshindwa kunielewa na hii inaonesha kua wewe mwenyewe hujielew. Nimeshapata mtungi
 
Kama unataka mtungi wa gesi na kisimbuz cha Azam TV nenda madukani.Ni rahisi tu
 
Back
Top Bottom