Fundi umeme nipo hapa!

Fundi umeme nipo hapa!

Hajto

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
5,652
Reaction score
5,634
Habari zenu waungwana,

Me ni kijana mwenye taaluma ya umeme wa majumbani, Mwenye kuhitaji fundi kwa ajili ya kufanyiwa wiring au kulekebishiwa hitilafu katika nyumba yake asisite kuwasiliana nami 0718 30 21 32.

Napatikana Ilala ila kwa maeneo yote ya jiji la Dar es Salaam nafika ukinihitaji.

Pia natoa ushauri kuhusu mambo ya kiumeme.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom