nasafirisha parcel kati ya dar na zanzibar.

nasafirisha parcel kati ya dar na zanzibar.

afebris

Member
Joined
Nov 17, 2015
Posts
96
Reaction score
105
nasafirisha parcel ndogo ndogo kati ya dar na zanzibar...
Duration maximum 3 days and below..
Price 5000 tu....
Karibuni.
 
We acha uhuni,Zanzibar Dar 3 days umeona wapi?
Mtuu unaagiza sim kutoka UK inachukua chini ya wiki.Itakuwa hapa hata kunguru wanavuka.

Yaani ulivyoweka siku 3 ndio umekimbiza wateja.

Mie kila wiki nasafirisha vimizigo hivyo kwa ndugu zangu waliopo Dar na ni only 2hrs na nusu mtu anapata mzigo wake.Unaenda Bandarini unampa Staff wa boat na wengine nijamaa zangu maana wengine tumekaa sana port.Ukimpa basi wakati huo huo unampigia sim mtu akapokee.Sasa kwa sie tunaokaa Buguruni ni masaa matatu tu mzigo unafika nyumbani.
We hata parcel ya Biriani ukiisafirisha inafika haijapoa

Kuhusu bei,hapo ni sawa,ndio bei za kawaida hizo.

badilisha suala la siku tatu,la sivyo wewe mwizi,mie sipendi saana kuremba.
 
Na kama ni Baharia au Staff mzoefu ukisema jina lako tu basi jua nakujua.
Maana kila boat nawajua wenye kusafirisha parcel za watu.

Kuan kisirani mmoja tu ndio kimeo anaitwa Borafya,yaani utafikiria yeye ndio manager wa boat.Ukimpa mzigo tegemea usumbufu wa hali ya juu saana.Hataki kupanda juu yaani kutoa nje ya boat hadi umfuate,na ukienda pale mpaka ulipie tena kwa geti ndio uzamie.Tabu sana huyu kiumbe.
Ila wengine sipendi kuwataja hapa,yaani ukimpa basi yeye ndio anakupigia sim kwamba upo wapi,na anatoka nje ya bandari pale getini anakupa mzigo wako unasepa,full raha
 
Na kama ni Baharia au Staff mzoefu ukisema jina lako tu basi jua nakujua.
Maana kila boat nawajua wenye kusafirisha parcel za watu.

Kuan kisirani mmoja tu ndio kimeo anaitwa Borafya,yaani utafikiria yeye ndio manager wa boat.Ukimpa mzigo tegemea usumbufu wa hali ya juu saana.Hataki kupanda juu yaani kutoa nje ya boat hadi umfuate,na ukienda pale mpaka ulipie tena kwa geti ndio uzamie.Tabu sana huyu kiumbe.
Ila wengine sipendi kuwataja hapa,yaani ukimpa basi yeye ndio anakupigia sim kwamba upo wapi,na anatoka nje ya bandari pale getini anakupa mzigo wako unasepa,full raha

Mkuu umeua mbaya..huyo jamaa ni mbabaishaji sana, siku 3 mzigo unafika Dubai
 
We acha uhuni,Zanzibar Dar 3 days umeona wapi?
Mtuu unaagiza sim kutoka UK inachukua chini ya wiki.Itakuwa hapa hata kunguru wanavuka.

Yaani ulivyoweka siku 3 ndio umekimbiza wateja.

Mie kila wiki nasafirisha vimizigo hivyo kwa ndugu zangu waliopo Dar na ni only 2hrs na nusu mtu anapata mzigo wake.Unaenda Bandarini unampa Staff wa boat na wengine nijamaa zangu maana wengine tumekaa sana port.Ukimpa basi wakati huo huo unampigia sim mtu akapokee.Sasa kwa sie tunaokaa Buguruni ni masaa matatu tu mzigo unafika nyumbani.
We hata parcel ya Biriani ukiisafirisha inafika haijapoa

Kuhusu bei,hapo ni sawa,ndio bei za kawaida hizo.

badilisha suala la siku tatu,la sivyo wewe mwizi,mie sipendi saana kuremba.

hmm mie nimesema maximum ndio siku tatu...mzigo unaweza kuchukua hata siku moja kutokana na ratiba yangu...
 
Vipi kuhusu import tax unalipia kiasi gani,let say kwa hotpot ya biriani?
 
We acha uhuni,Zanzibar Dar 3 days umeona wapi?
Mtuu unaagiza sim kutoka UK inachukua chini ya wiki.Itakuwa hapa hata kunguru wanavuka.

Yaani ulivyoweka siku 3 ndio umekimbiza wateja.

Mie kila wiki nasafirisha vimizigo hivyo kwa ndugu zangu waliopo Dar na ni only 2hrs na nusu mtu anapata mzigo wake.Unaenda Bandarini unampa Staff wa boat na wengine nijamaa zangu maana wengine tumekaa sana port.Ukimpa basi wakati huo huo unampigia sim mtu akapokee.Sasa kwa sie tunaokaa Buguruni ni masaa matatu tu mzigo unafika nyumbani.
We hata parcel ya Biriani ukiisafirisha inafika haijapoa

Kuhusu bei,hapo ni sawa,ndio bei za kawaida hizo.

badilisha suala la siku tatu,la sivyo wewe mwizi,mie sipendi saana kuremba.
sio kila baharia anafanya kazi speed boat boss....
kuna majahazi,boom na meli za mizigo...mfano kama uko kwenye jahazi baharini na upepo hamna,utategemea kufika siku ngapi?
 
Na kama ni Baharia au Staff mzoefu ukisema jina lako tu basi jua nakujua.
Maana kila boat nawajua wenye kusafirisha parcel za watu.

Kuan kisirani mmoja tu ndio kimeo anaitwa Borafya,yaani utafikiria yeye ndio manager wa boat.Ukimpa mzigo tegemea usumbufu wa hali ya juu saana.Hataki kupanda juu yaani kutoa nje ya boat hadi umfuate,na ukienda pale mpaka ulipie tena kwa geti ndio uzamie.Tabu sana huyu kiumbe.
Ila wengine sipendi kuwataja hapa,yaani ukimpa basi yeye ndio anakupigia sim kwamba upo wapi,na anatoka nje ya bandari pale getini anakupa mzigo wako unasepa,full raha

Gonga like mkuu binafsi hua natuma sana mizigo dar na mda c zaid ya masa 2 mhusika ameupata, sasa ww siku 3 hizo zote za nn
 
We acha uhuni,Zanzibar Dar 3 days umeona wapi?
Mtuu unaagiza sim kutoka UK inachukua chini ya wiki.Itakuwa hapa hata kunguru wanavuka.

Yaani ulivyoweka siku 3 ndio umekimbiza wateja.

Mie kila wiki nasafirisha vimizigo hivyo kwa ndugu zangu waliopo Dar na ni only 2hrs na nusu mtu anapata mzigo wake.Unaenda Bandarini unampa Staff wa boat na wengine nijamaa zangu maana wengine tumekaa sana port.Ukimpa basi wakati huo huo unampigia sim mtu akapokee.Sasa kwa sie tunaokaa Buguruni ni masaa matatu tu mzigo unafika nyumbani.
We hata parcel ya Biriani ukiisafirisha inafika haijapoa

Kuhusu bei,hapo ni sawa,ndio bei za kawaida hizo.

badilisha suala la siku tatu,la sivyo wewe mwizi,mie sipendi saana kuremba.

Nimecheka mie, mteja asubur mzigo siku tatu wakati kawaida natuma ndani ya masaa 4 mtu kapata mzigo wake.

Kwa kweli arekebishe muda.
 
nasafirisha parcel ndogo ndogo kati ya dar na zanzibar...
Duration maximum 3 days and below..
Price 5000 tu....
Karibuni.

Upo hapo bandarini??? Je utaratibu wa upokeaji mzigo kwa mteja wangu ukifika utakuwaje ili kuepuka usumbufu wa Tra?? Je hata kama mzigo ni mkubwa gharama yako ni hyo hiyo??
 
Upo hapo bandarini??? Je utaratibu wa upokeaji mzigo kwa mteja wangu ukifika utakuwaje ili kuepuka usumbufu wa Tra?? Je hata kama mzigo ni mkubwa gharama yako ni hyo hiyo??

unajua nini!!watu wanajifanya hawaelewi,mie sijesema siku tatu,nimesema maximum 3 days,inashuka zaidi ya hapo hata siku moja tu,inategemea...ndio nipo bandarini...na utaratibu mtu anaufuata bandarini zanzibar.
 
.
Upo hapo bandarini??? Je utaratibu wa upokeaji mzigo kwa mteja wangu ukifika utakuwaje ili kuepuka usumbufu wa Tra?? Je hata kama mzigo ni mkubwa gharama yako ni hyo hiyo??

mzgo anatolewa mpaka nje bandarini,mzigo mkubwa mpaka niuone.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom